RASCO BOY
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 428
- 485
Link hiyo na chanel ni hiyo pia AppTu
Tupe na wengine
Link hiyo na chanel ni hiyo pia AppTu
Tupe na wengine
Unamaanisha nn mkuuAngalia mpira mpira huwa hatuusikii
Kutokana na kucheza katika kombe la dunia hadi hatua za mwishoni.....walipewa muda wa kupumzika na walitakiwa kurejea kikosini ijumaa hii...japo Hazard aliomba kurejea janaNaomba kuuliza kwa nn hazard na kipa xortour hawapo leo.ni majeruhi au
Maurizio Sarri ni jinius Fulani,
Aiseee na kule mbele akuna uelewano kabisa yaani combination mbovu sijui takuaje leoHalf time; Manchester City wanaongoza moja
Naona tu tunajaribu kweli kumiliki mpira bila ya kujua tunaendaje mbele kufunga....beki wa kati Rudiger na Luiz bado hawajaelewana vizuri naona wanashindwa kuwasogelea na kuwazui wapinzani wanawakimbiza tu
Kwa kweli mm nilikua namtaka Luis EnrgueDakika 59' minutes: Chelsea 0 - 2 Man City
Sasahivi Maurizio Sarri ataanza kukiona Kutoka Kwa Plastic Fans wenye hasira ambao tuliwaambia Sarri si Kocha Wakatubishia 😀😀😀
Acha uzushi wewe mbona Chelsea ilishaanza msimu kwa kipigo na ikachukua ubingwa na hata man u pia walianza kwa kipigo na wakabeba ubingwa wewe na Liverpool ya ubingwa mtabaki kuusikia tu toka ianze kuitwa EPL ujawai kulibeba npaka leo hiiHakuna Nuhusi Kama Kuanza Msimu Kwa Kipigo... Na ikumbukwe Kuwa Comuunity Shield Ndiyo unapoanzia Msimu 😀😀
Acha uzushi wewe mbona Chelsea ilishaanza msimu kwa kipigo na ikachukua ubingwa na hata man u pia walianza kwa kipigo na wakabeba ubingwa wewe na Liverpool ya ubingwa mtabaki kuusikia tu toka ianze kuitwa EPL ujawai kulibeba npaka leo hii
Bora angebaki kuliko uyo Sarri ..wachezaji walikuwa wameuchoka mfumo wake na timu nyingine zilimjulia akakosa mawazo mapya.
Ilikuwa lazima aondoke kupandisha morali wa timu na mashabiki kuiamini timu tena.
Sijui mdau wanguUnajua ni kwa nn Giroud aliendelea kupewa nafasi ya kucheza first eleven hata kama alikuwa hafungi?