Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Shida mojawapo kubwa ya Chelsea ni mbele ndio maana timu inalemewa
Pia, kuimarika kwa mancity, manu, liv kumechangia kuiweka pabaya Chelsea ambayo haikufanya usajili wa maana kwa ajili ya msimu huu
Mkuu tulifungwa na Burnley, Palace na Bournemouth. Je hapo Liverpool, Man C na Man U walichangiaje
 
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana
Umegusa penyewe mkuu,

Nikimuangalia Conte some time namuonea huruma mno kwa jinsi Body ya Chelsea inavyo mfanyia vipindi vya usajiri.

Lakini jamaa hajali zaidi ya kuipigania klabu tuu.
 
Nimeamini kweli Chelsea nikatimu kadogo tena ka mfukoni mwa mtu yaani miaka yote hii tangia kaanzishwe mwaka 2003 kuna comment 4000+?? Hii aibu aisee
 
Jibu post baada ya kuelewa. Au kama neno only linakuchanganya uliza
Kwa jinsi timu inavyocheza hilo haliwezekani kabisa na inaonekana Conte mwenyewe anataka kuondoka

Why anacheza bila striker while Giroud na Morata wako fit?
 
Kaeni chini jipangeni 2019 mrudi Champion league football.Period!
2018/19 mtacheza Yuropa ligi fanyeni vyema huko mchukue ubingwa ili 2019 mrudi CL
Sijaona team hapo ya kurudi CL kwa kupitia EPL maana Man City,Liverpool na Totenham zipo pale kwa miaka mingi!
 
Ilete hiyo post hapa. Na hata akiimprove siyo leo. Kama hauna uwezo wa kuquote mti jitahidi usiquote
Mzee mbona una hasira sana leo

Kuna option ya ignore unaiweza ukaitumia but huwezi nipangia cha kupost as long sijavunja sheria za JF
 
Ukitaka kujua uwezo wa Ross Barkley tazama hii youtube video
Akikaa miaka minne tu Chelsea anaweza fikia au kuivunja record ya Frank Lampard. Ana uwezo wa kufunga magoli kutoka impossible angles

Analyst sorry nilikuchanganya na lembu
 
Mkuu tulifungwa na Burnley, Palace na Bournemouth. Je hapo Liverpool, Man C na Man U walichangiaje

Kufungwa na hizo timu haiondoi sababu niliyotoa. Mwaka jana na mwaka huu hizo timu tatu hazikuwa hivi. Na tuseme tuata Burnley nao wameimprove. Point yangu kubwa Chelsea haijafanya signing zinazoendana na improvement ya baadhi ya timu za epl mwaka huu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom