Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

ujue nyie chelsea bado siwaelewi ni kuzidiwa uwezo au kuna ka mgomo baridi? unawezaje kufungwa nje na ndani huo si ufala
 
b03e74db42b6b75955ad73a285ea5b98.jpg
 
ujue nyie chelsea bado siwaelewi ni kuzidiwa uwezo au kuna ka mgomo baridi? unawezaje kufungwa nje na ndani huo si ufala
Unless umeanza kucheck mpira msimu huu, hakuna kitu cha ajabu timu kungwa Home and away na potential league winner
 
Hata angekuwa sio majeruhi aliisha poteza namba baada ya ku question uwezo wa Conte siku mmefungwa na Roma CL!
Luiz May anaondoka kama Conte atabaki kuwa kocha
Tangu mgogoro huo Luis amecheza mara tatu baada ya hapo akapata majeruhi. Usijari kujenga mawazo yako na kuyafanya kweli
 
mkuu bado dakika 15 utabiri wako utimie
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana
 
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana

Abramoch anahusika kwa 100% kwenye maamuzi ya kununua kupitia kwa sterling wake. Kutompa kocha sauti ndio sababu mojawapo
 
Shida mojawapo kubwa ya Chelsea ni mbele ndio maana timu inalemewa
Pia, kuimarika kwa mancity, manu, liv kumechangia kuiweka pabaya Chelsea ambayo haikufanya usajili wa maana kwa ajili ya msimu huu
 
Barca anaenda kutupiga goli moja nimesha andaa 50 hapa ya correct score na goli ilo litapatikana kwa kosa la Christensen na kocha atasema " is actually a young player"
 
Nimewapenda Chelsea..nyie ni wagumu sana,msingekuwa makini mngepiga 3 kama yule jamaa
 
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana
Watakuja kuiprove tu Unakumbuka uliwahi kuniambia hivi
 
No Striker no shot on target, KTBFFH
Hazard kachezeshwa kama lone striker, kagusa mpira mara 31 na hajagusa mpira ndani ya penalty box, huku Gundagon kagusa mpira zaidi ya mara 179 ambayo ni rekodi ya EPL tangu datas zilipoanza kukusanywa.
 
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana
Hivi si ulisema Barkley atakuwa mchezaji bora kuliko Lampard?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom