Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Nasikia harufu ya kamgomo. Naona hata wachezaji hawakubaliani na hili swala la kuanza mechi bila namba 9.
Umeanza kushabikia mpira Ngosha alipoingia madarakani. Ukabaki kusoma story za timu kwenye magazeti ya dimba na mwanaspotiHahahaaaaa nimefurahi umezitaja timu za kawaida kabisa hujaiongelea timu bora kabisa EPL kwa miongo kadhaa
Endelea kupambana na hali yako hakuna aliyekutuma kushabikia mitimu mibovu mtimu umelipuka tu kama ugonjwa wa ebolaUmeanza kushabikia mpira Ngosha alipoingia madarakani. Ukabaki kusoma story za timu kwenye magazeti ya dimba na mwanaspoti
Sasa mbona unaongea vitu senseless. Huna cha maana unachochangia bagia wewe. Eti comment 4k za funia nzima au.? Tulia dawa ikuingie ukurutu weweEndelea kupambana na hali yako hakuna aliyekutuma kushabikia mitimu mibovu mtimu umelipuka tu kama ugonjwa wa ebola
Kwa taarifa yako mm nimeanza kufuatilia soka la kimataifa since 1994 kipindi hicho wewe upo kijijini kwenu unakunya kwenye poti pimbi wee
Huwa sibishani na matahira jua hiloSasa mbona unaongea vitu senseless. Huna cha maana unachochangia bagia wewe. Eti comment 4k za funia nzima au.? Tulia dawa ikuingie ukurutu wewe
Ndoto za jioniTujiandae na Europa mwaka kesho
Kwa nini?
Bado mechi tisa ya point 27 timu ikishinda yote
Fact #1: Chelsea Ikishinda zote na Spurs wakapoteza mechi mbili tutawapita kitu ambacho hakitatokea
Fact #2 Chelsea ishinde zote halafu Spurs watoe draw sita kati ya game 9 zilziobaki kitu ambacho hakitatokea
Fact #3: Chelsea Ikishinda 7 na Spusr wakapoteza mechi nne tutawapita kitu ambacho hakitatokea
Fact #4 Chelsea ishinde 6, tutoe draw 2 na kufungwa moja na Spurs washinde 4, draw 3 na washindwe 2 labda, fifty fifty wao au sisi
Mimi natoa probability kubwa kwenye fact no. 4 kwa kuchukulia mechi zilizo mbele ya Chelsea na Spurs
Kwa nini Spurs na sio Liv au Man U - Kuwakamata Spurs tuna kazi kubwa hao wengine ni kujidanganya
Mzee tuluza kipapa. Umevamia sehemu isiyo sahihi. Ni heri ukae kimya.Huwa sibishani na matahira jua hilo
Hapa Mutanyoosheana Vidole Kweli Lakini Ukweli Upo Wazi ila Munaufumbia Macho na Kuifanya Bodi Ya Chelsea Kuwa Ni Scapegoat ili Conte abaki Salama!
Ukweli Ni Kwamba Tatizo Kubwa linaloikabili Chelsea Katika Usajili si Bodi, Bali Ni Conte Mwenyewe!
1) Kwanza Kabisa Kakosa USHAWISHI Wa Kuwavuta Wachezaji Nyota.
2) Scouts Yake Ya Usajili Ni Mbovu na inahitaji Kuvunjwa iundwe nyengine.
Tazama Wachezaji Wazuri anaowataka na Anaishia Kuwakosa, Badala Yake Munatupia Lawama Bodi kumbe Wachezaji Wenyewe Hawataki Kucheza Chini Ya Conte.
√ VVD alitakiwa na Chelsea Akaikataa..
√ Lukaku nayeye Kaitolea nje kenda Man U.
√ Chamberlain Kaitolea Nje Kaja Liverpool
√ Matic Katimkia Man U
√ Court & Hazard dilemma
Hivi £58m mulizotoa Kwa Moratta Hapa Bodi inahusikaje Wakati Conte Angeweza Kununua Mchezaji Bora Zaidi Kwa Bei Chini ya Hiyo.
Klopp Kwa Ushawishi Wake tu Katumia £36m Kumnunua Sadio Mane..
Katumia £39m Kumnunua Mo Salah...
Katumia £40m Kumnunua Chamberlain...
Hao Wote Ni Wachezaji Wazuri ingawa Ni Underrated.
Lakini Conte anatoa Pesa Kama Hizo Kumnunua Kina Drinkmaji na Barkely ikisha munailaumu Bodi.
Hivi Hiyo £58m munahisi Huwezi Kupata Mchezaji Wa Maana?
Kubalini Kuwa Conte Ni Kocha asiye na ushawishi Hata Kidogo Wa Kuvutia Wachezaji Kuja Chelsea...
Na Iwapo ataendelea Kuitumikia Chelsea Next Season basi Atawasababishia Kupoteza Wachezaji Wenu Wote waliowazuri kama alivyofanya Matic.