Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Kwa nini mkuu.?Huu usajili anaofanya Chelsea sasa,ndo maana conte analalamika
Kwa nini mkuu.?Huu usajili anaofanya Chelsea sasa,ndo maana conte analalamika
Ampadu 17Lakini mkuu mm nikiangakia kikosi cha Chelsea bado nakiona kama kikosi kitakacho fanya vizuri katika miaka 5 hii inayokuja.
Hivi angalia miaka yao:
1. Courtois 25
2. Rudigar- 24
3. Christensen- 21
4. Azpilicueta- 28
5. Moses - 27
6. Bakayoko- 23
7. Kante- 26
8. Drinkwater- 27
9. Ross Barkley- 24
10. Alonso- 27
11. Hazard-26
12. Morata- 25
13. Kennedy -21
14. Musonda- 21
15. Ampadu- ?
Nyie mambwege EPL mtakuwa mnaiona kwenye picha tu Ila lile kombe aslani amtalibeba chini YA Wenger tena..... Mlitamba Sana mwa uhuu ampo uefa mnasuka timu YA kubeba EPL jiulize Sasa hovi upp nafasi YA ngapi na hakuna hata dalili YA kuinusa top 3Tatizo mlitamba mno......subir kesho,..subir kesho...ss tukasema sawa......ikafika mwisho wa siku ka ulivyoona...mkapewa na tuta juu....
Naona kisingizio kimekuwa yule dogo wa Madrid.......
Nimejaribu kufuatilia post zenu kabla ya kombora la bellerin sijaona morata anapondwa kihivyo...nimeona Mara safi,cjui haters wamekuwaje.......
Ila mwisho wa siku kijana wa watu anabeba zigo lote......
Punguzeni unaaaaaa wana Chelsea......
5 goals!!!!!!!!...pumbavu unafikiri yale maandazi...Kwa kweli nilitaka kulia. Nilimkumbuka Didier Drogba na Diego Costa! Gemu ya jana tungemuua Aseno kwa ngumi yaani goli 5!
And has got the gape of 7 points from chelseaArsenal are 5 points clear of Burnley in the race for top 6![]()
Mwa uhuu ndo nn mkuu..???...halafu top 3 inasaidia nn...nambie kitu anachokipata mtu wa tatu halafu asikipate mtu wa nne.......halafu ss si mabwege dadeq........halafu jaribu kupangilia sentensi zako zieleweke na kutumia lugha fasaha mtu akuelewe.....Nyie mambwege EPL mtakuwa mnaiona kwenye picha tu Ila lile kombe aslani amtalibeba chini YA Wenger tena..... Mlitamba Sana mwa uhuu ampo uefa mnasuka timu YA kubeba EPL jiulize Sasa hovi upp nafasi YA ngapi na hakuna hata dalili YA kuinusa top 3
Naskia rose Barkley ndani ya blues
Kenge maji peleka ushabiki wako mahandazi kwenye jukwaa la arsenane...... Unazani hiyo ligi YA alhamis usiku mtaibeba kule mnadindikiza vijiwanaume..... Sisi tupo ligi YA wanaumeeee..... Nyambaf kabisa Nyie mpo upande wa kukosa milele kunyanyua kwapa mtakuwa mnatushangilia wenzenu.... Conte kaja ndani YA mwaka kalibeba Nyie Wenger mnaweka record YA kumzidi sir Alex mechi za kuifundisha timu... Na bado sir Alex amemzidi babu yenu kwa makombe, mech za kushinda na magoli YA kufunga... Pimbi nyieMwa uhuu ndo nn mkuu..???...halafu top 3 inasaidia nn...nambie kitu anachokipata mtu wa tatu halafu asikipate mtu wa nne.......halafu ss si mabwege dadeq........halafu jaribu kupangilia sentensi zako zieleweke na kutumia lugha fasaha mtu akuelewe.....
Sijaelewa pointi yako msingi......ligi ya wanaume ipi na isiyo ya kiume ipi...??????....we mwisho kunifunga lini...????.....eti conteKenge maji peleka ushabiki wako mahandazi kwenye jukwaa la arsenane...... Unazani hiyo ligi YA alhamis usiku mtaibeba kule mnadindikiza vijiwanaume..... Sisi tupo ligi YA wanaumeeee..... Nyambaf kabisa Nyie mpo upande wa kukosa milele kunyanyua kwapa mtakuwa mnatushangilia wenzenu.... Conte kaja ndani YA mwaka kalibeba Nyie Wenger mnaweka record YA kumzidi sir Alex mechi za kuifundisha timu... Na bado sir Alex amemzidi babu yenu kwa makombe, mech za kushinda na magoli YA kufunga... Pimbi nyie
conte anasimamaje mbele ya Wenger..???...we huko uefa unapojisifia unajua unakutana na nan....??????Kwa hiyo...????Chelsea na Arsenal Ndugu
Sisi Arsenal tukubali tu ukweli Kbsa Chelsea wametupita Sana toka 2004.mpaka Leo 2018