Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Analyst sorry nilikuchanganya na lembu

Hii ni sawa na pumba. Barkley yupo majeruhi hata hajaanza kucheza. Unaanzaje kupinga ukweli huu. Muache acheze na timu mpya michezo kadhaa uje mwakani angalau December na upinge huu ukweli
 
Hii ni sawa na pumba. Barkley yupo majeruhi hata hajaanza kucheza. Unaanzaje kupinga ukweli huu. Muache acheze na timu mpya michezo kadhaa uje mwakani angalau December na upinge huu ukweli
Acha kujidanganya Barkley hawezi fikia hata nusu ya Lampard
 
Acha kujidanganya Barkley hawezi fikia hata nusu ya Lampard
Anaweza asimfikie lakini hukumu ya nini kwa sasa wakati hata mchezaji hajaanza kucheza. Au Lampard alikuwa malaika asifikiwe. Kwenye mpira lolote laweza kutokea na rekodi zinawekwa ili zivunjwe
 
Conte out
Lesta City wamepata golii etihad, Stoke wamepata Golii etihad, Soton wamepata Goli etihad, West Ham walioata golii etihad, CTY haina ukutaa ukipres high unapata golii lakinii conte kaamua kuweka nje staika wote wawili benchii.....bekii za City zimecjeza kwa kurelex hakuna wa kuwapa pressure, hilii naloo linahitaji bodii impangie!??
 
Bado nasubiri ila to be honest Chelsea is very poor. Na bodi inapaswa kulaumiwa kwa asilimia kubwa. We don't have players. Tunahitaji good replacement ya
John Terry
Lampard na
Drogba.

Drinkwater, Morata/Giroud, na hata Moses ni ovyo kabisa. Abramovich anatoa hela nyingi ila bodi inaishia kununua wachezaji wa mafungu(15M) nk tena Wengi wao wakiwa wanatoka vitandani na wengine wanakuja na majeraha yao mfano Bakayoko, Drinkwater, Emerson, Barkley, Giroud nk. Only Rudiger ndo mchezaji mwenye maana
Hv we c ndo ulikuwa unatetea usajil wa wachezaj huku ukkisema tunahitaj mda mrefu wa kuwagroom hawa waliopo ili wafikie viwango vzuri??
Leo naona unaanza kulaumu tena.. Umesimamia kipi mzee??

Pia nilishangaa sana comment yako uliokuwa unasema et tutamaliza nafas ya 2 huku Spurs ukiwa hujawaweka top 4, sijui ulikuwa unatumia nn kujudge hvo
 
900+ passes. Hivi Man City walikua wanacheza na Lipuli auu?
b1a40304e4f5229dbb0f66241bcf8c9c.jpg
Haya ni matokeo ya uchaguzi mdogo wa madiwani huko kinondoni
 
Nimeamini kweli Chelsea nikatimu kadogo tena ka mfukoni mwa mtu yaani miaka yote hii tangia kaanzishwe mwaka 2003 kuna comment 4000+?? Hii aibu aisee
Hizo comments 4,000 ni za dunia nzima au unazunguamzia jamii forums-hebu fafanua
 
Hapa Mutanyoosheana Vidole Kweli Lakini Ukweli Upo Wazi ila Munaufumbia Macho na Kuifanya Bodi Ya Chelsea Kuwa Ni Scapegoat ili Conte abaki Salama!

Ukweli Ni Kwamba Tatizo Kubwa linaloikabili Chelsea Katika Usajili si Bodi, Bali Ni Conte Mwenyewe!
1) Kwanza Kabisa Kakosa USHAWISHI Wa Kuwavuta Wachezaji Nyota.
2) Scouts Yake Ya Usajili Ni Mbovu na inahitaji Kuvunjwa iundwe nyengine.

Tazama Wachezaji Wazuri anaowataka na Anaishia Kuwakosa, Badala Yake Munatupia Lawama Bodi kumbe Wachezaji Wenyewe Hawataki Kucheza Chini Ya Conte.

√ VVD alitakiwa na Chelsea Akaikataa..
√ Lukaku nayeye Kaitolea nje kenda Man U.
√ Chamberlain Kaitolea Nje Kaja Liverpool
√ Matic Katimkia Man U
√ Court & Hazard dilemma

Hivi £58m mulizotoa Kwa Moratta Hapa Bodi inahusikaje Wakati Conte Angeweza Kununua Mchezaji Bora Zaidi Kwa Bei Chini ya Hiyo.

Klopp Kwa Ushawishi Wake tu Katumia £36m Kumnunua Sadio Mane..
Katumia £39m Kumnunua Mo Salah...
Katumia £40m Kumnunua Chamberlain...
Hao Wote Ni Wachezaji Wazuri ingawa Ni Underrated.

Lakini Conte anatoa Pesa Kama Hizo Kumnunua Kina Drinkmaji na Barkely ikisha munailaumu Bodi.

Hivi Hiyo £58m munahisi Huwezi Kupata Mchezaji Wa Maana?

Kubalini Kuwa Conte Ni Kocha asiye na ushawishi Hata Kidogo Wa Kuvutia Wachezaji Kuja Chelsea...
Na Iwapo ataendelea Kuitumikia Chelsea Next Season basi Atawasababishia Kupoteza Wachezaji Wenu Wote waliowazuri kama alivyofanya Matic.
 
Nimeamini kweli Chelsea nikatimu kadogo tena ka mfukoni mwa mtu yaani miaka yote hii tangia kaanzishwe mwaka 2003 kuna comment 4000+?? Hii aibu aisee
Yani wewe ni heri ungekula. Ila tatizo lako umetafuna maharage sijui ya wapi.? Kaangaalie Liverpool na Arsenal. Tuondolee ujinga
 
Kaeni chini jipangeni 2019 mrudi Champion league football.Period!
2018/19 mtacheza Yuropa ligi fanyeni vyema huko mchukue ubingwa ili 2019 mrudi CL
Sijaona team hapo ya kurudi CL kwa kupitia EPL maana Man City,Liverpool na Totenham zipo pale kwa miaka mingi!
Bila shaka wewe utakua mfurukutwa wa Liverpool.
 
Tetesi

Mashambulizi wa Brazil Willian, 29, anasema anataka kusalia katika klabu hiyo ya Premier League licha Manchester United kuonyesha nia ya kumsaini (Planeta Sportv - in Portuguese)

Chelsea wana mpango wa kumleta mchezaji wa zamani wa Arsenal Mikel Arteta katika safu yake ya usimamizi. (Mirror)
 
Tujiandae na Europa mwaka kesho
Kwa nini?
Bado mechi tisa ya point 27 timu ikishinda yote

Fact #1: Chelsea Ikishinda zote na Spurs wakapoteza mechi mbili tutawapita kitu ambacho hakitatokea
Fact #2 Chelsea ishinde zote halafu Spurs watoe draw sita kati ya game 9 zilziobaki kitu ambacho hakitatokea
Fact #3: Chelsea Ikishinda 7 na Spusr wakapoteza mechi nne tutawapita kitu ambacho hakitatokea
Fact #4 Chelsea ishinde 6, tutoe draw 2 na kufungwa moja na Spurs washinde 4, draw 3 na washindwe 2 labda, fifty fifty wao au sisi

Mimi natoa probability kubwa kwenye fact no. 4 kwa kuchukulia mechi zilizo mbele ya Chelsea na Spurs
Kwa nini Spurs na sio Liv au Man U - Kuwakamata Spurs tuna kazi kubwa hao wengine ni kujidanganya
 
Conte responded to criticism from television pundits regarding his tactics for today’s game

‘At this moment you have to accept criticism but I’m not so stupid to play open against Man City and lose 3-0 or 4-0. If I remember well, a few days ago Arsenal played twice against them and you [the media] criticised [Arsene] Wenger because they conceded three goals in 20 minutes. Pundits need to use their heads and understand when you speak about tactics you must have knowledge, not just speak in a stupid way.’
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom