kodian
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 977
- 1,106
Sawa kwhyo ww unagombania nafas ya 5 kila mwaka na ww mwnyw muumin wa mfumo huo wa kugombea nafas ya 4 kila mwka huna lengo la kchkua ubingwa afadhali hat wenger kachkua 2004 we mwka gan umechkua na mpango yakoEti Nipo Nafasi Ya Ngapi??
Kumbe wewe umekuwa Muumini Wa Wenger Kakuridhisha Kugombania Top Four badala ya Ubingwa?
Mimi Siwezi Kujibu swali kama hilo Coz Kwangu Mimi Ukiacha Nafasi Hile Ya Kwanza Ya Ubingwa! Zilizobakia Zote Ni Nothing and meaningless!!!!
Mimi Kocha Yeyote Anaegombania Top 4 Basi Ni Mpumbavu! Kocha Ni Yule Anaefocus Ubingwa na Si Top Four.