eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Sijui mimi ndio naona tu
Timu yetu kwa sasa hata ikifungwa bado unaona ni jinsi gani wana hamu ya kufunga goli siku hizi wanaupiga mwingi sana kuanzia kiungo kwenda mbele
Bado huku nyuma kwenye beki hatujawa vizuri maana ukiucheza mpira namna hiyo beki yako inabidi iwe imara kuzuia mashambulizi
Match na westham ni uzembe wa mabeki hasa cahill
Match na hadsfild goli lilifungwa kwa mabeki kuwa wavivu kuruka hewani
Na tungempata morata alikuwa anatufungia goli 2 mwenyewe
Hii team bila kante haiendi niliona alivomtoa na kumuingiza water kila kitu kilibadilika
Wilian alikuwa katika ubora wake kabisa na kwangu ndiye Man of the match dhidi ya hads
Timu yetu kwa sasa hata ikifungwa bado unaona ni jinsi gani wana hamu ya kufunga goli siku hizi wanaupiga mwingi sana kuanzia kiungo kwenda mbele
Bado huku nyuma kwenye beki hatujawa vizuri maana ukiucheza mpira namna hiyo beki yako inabidi iwe imara kuzuia mashambulizi
Match na westham ni uzembe wa mabeki hasa cahill
Match na hadsfild goli lilifungwa kwa mabeki kuwa wavivu kuruka hewani
Na tungempata morata alikuwa anatufungia goli 2 mwenyewe
Hii team bila kante haiendi niliona alivomtoa na kumuingiza water kila kitu kilibadilika
Wilian alikuwa katika ubora wake kabisa na kwangu ndiye Man of the match dhidi ya hads
