Hazard ni mchezaji wa ajabu, mimi naona anaweza namba zote isipokuwa za nyuma. Mbele kote weka kuanzia center forward na striker any position anacheza. Kijana yuko mwepesi na utadhani kazaliwa na mpiraKuna mdau kaniambia kaumia.
Lakini unafikiri hazard ni sahihi kucheza striker? ndo maana nikasema hivyo.
Sawa mkuu. Kwa kuwa Leo tunaelekea kushinda.Hazard ni mchezaji wa ajabu, mimi naona anaweza namba zote isipokuwa za nyuma. Mbele kote weka kuanzia center forward na striker any position anacheza. Kijana yuko mwepesi na utadhani kazaliwa na mpira
Morata kapumzishwa kabisa ila wknd atakuwepoMorata ana majeruhi, kocha halaumiki hapo
Huyu hata asiporudi poa tu...willian Pedro na hazard wamenikosha sana leo pale mbeleMorata kapumzishwa kabisa ila wknd atakuwepo
😀Hasira za kupangwa na barca hizo
Bakayoko ni bonge la mchezaji kama ilivyo kunywa majiKikosi kizuri ila sasa tukishinda hapa kocha atadhani tumeshinda kwa sababu tumecheza na timu dhaifu. Nimipenda hiyo forward.
Hapo wakiongeza bidii, game ya Barcelona atoke Bakayoko acheze Drinkwater.
Wengine wabaki hivyohivyo....
Ushaitema big g kwa vikaranga vya kuonjeshwa eeehe?Huyu hata asiporudi poa tu...willian Pedro na hazard wamenikosha sana leo pale mbele
Nakusalimu mkuu...Jiandae Kuswallow your words
Luiz akirudi basi acheze kati.Bakayoko ni bonge la mchezaji kama ilivyo kunywa maji
Mi siku hiyo naomba amrudishe luiz, Christiansen na aspiliqueta
Cahili out au
Hii sub imetuharibia hesabu. Nilishahesabu clean sheet leoAndreas Christensen out Ethan Ampadu in
Wameupiga mwingi mno pale mbeleHuyu hata asiporudi poa tu...willian Pedro na hazard wamenikosha sana leo pale mbele