Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,121
- 14,032
Mkifa leo itapendeza zaidi
Unataka mshinde gori ngapTukishinda chini ya goli mbili nahama timu.
Morata ana majeruhi, kocha halaumiki hapoMorata out..huyu kocha anahitaji mwanasaikolojia
Hata angekuwa mzima...Morata ana majeruhi, kocha halaumiki hapo
Majaribio kweli. Hasa kwa Bakayoko.Kama anajaribisha timu, ila point tulizoachwa mmmmh
Unapaswa kuuliza ni kwa nini Morata yuko out si kulaumuMorata out..huyu kocha anahitaji mwanasaikolojia
Kuna mdau kaniambia kaumia.Unapaswa kuuliza ni kwa nini Morata yuko out si kulaumu
Mkuu timu yetu haina striker tofauti na Morata, Batshuaiy haridhishi so Conte anajikuta hana namnaKuna mdau kaniambia kaumia.
Lakini unafikiri hazard ni sahihi kucheza striker? ndo maana nikasema hivyo.
goli hakufunga Bakayoko, alipewa tu kwa sababu Huddersfield walijifunga wenyewe. magoli kama hilo la Willian ndio yaliyosoma mpaka chuo kikuu
acha tu kwa leo tumpe bakayoko