Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Habari za mida wadau wa Chelsea.

Niwape hongera sn kwa ushindi mzuri wa Leo.


Vile vile nipende tu kuwashsuri wapenzi wa Chelsea wenzangu tupende kusapoti team yetu na wachezaji wetu ktk Hali yoyote ile. Na tusifate mkumbo wa hbr zisizo na mashiko.


Hapo nyuma kulikua na mjadala mkubwa sn juu ya wachezaji baadhi wa Chelsea. Leo mmeona wenyewe. Sasa mna kipi cha kujifunza au kuelezea kutokana na mchezo wa Leo?

Nilitoa michango hapo nyuma na nikaelezea matatizo yanayo isibu Chelsea.


Moja ya sbbu nilisema ile Hunger ya kufunga au kushinda ya wachezaji wa Chelsea imeshuka. Na Leo mmeona ilivorudi.

Nilieleza kwamba Conte asimpange Azpilicueta km wingback na kujaza mabeki kibao kuna ifanya team inakua butu mana Azpi hawezi siku hizi kupandisha mipira mbele. Nikasema sasa ni wakati wa Conte kuwaamini kina Zappacosta na Christensen. Na Leo amefanya hivo matokeo yake mmeyaona.


Kitu kingine Leo Conte alichofanya ni kumpunguzia Faby majukumu ya ukabaji sn na badala yake atengeneze passes za kumwaga. Mmeona Leo kz yake.???


Nimpongeze sn Christensen kwa kiwango chake kizuri mana alimfunika kabisa Lukaku.

Pia nafikiri ata mjadala kuhusu Cahill sasa nafikiri utakua umefungwa. Mana amewaprove wote wrong.

Kwa sasa ni hayo tu. Tuendelee kushehelekea ushindi
Cahil ameupiga mwingi kweli
 
c82a69d0bbd72dd18ba3ef01dfb85cc1.jpg
Tuwazd kwa kila ktu umbwa haw
 
Habari za mida wadau wa Chelsea.

Niwape hongera sn kwa ushindi mzuri wa Leo.


Vile vile nipende tu kuwashsuri wapenzi wa Chelsea wenzangu tupende kusapoti team yetu na wachezaji wetu ktk Hali yoyote ile. Na tusifate mkumbo wa hbr zisizo na mashiko.


Hapo nyuma kulikua na mjadala mkubwa sn juu ya wachezaji baadhi wa Chelsea. Leo mmeona wenyewe. Sasa mna kipi cha kujifunza au kuelezea kutokana na mchezo wa Leo?

Nilitoa michango hapo nyuma na nikaelezea matatizo yanayo isibu Chelsea.


Moja ya sbbu nilisema ile Hunger ya kufunga au kushinda ya wachezaji wa Chelsea imeshuka. Na Leo mmeona ilivorudi.

Nilieleza kwamba Conte asimpange Azpilicueta km wingback na kujaza mabeki kibao kuna ifanya team inakua butu mana Azpi hawezi siku hizi kupandisha mipira mbele. Nikasema sasa ni wakati wa Conte kuwaamini kina Zappacosta na Christensen. Na Leo amefanya hivo matokeo yake mmeyaona.


Kitu kingine Leo Conte alichofanya ni kumpunguzia Faby majukumu ya ukabaji sn na badala yake atengeneze passes za kumwaga. Mmeona Leo kz yake.???


Nimpongeze sn Christensen kwa kiwango chake kizuri mana alimfunika kabisa Lukaku.

Pia nafikiri ata mjadala kuhusu Cahill sasa nafikiri utakua umefungwa. Mana amewaprove wote wrong.

Kwa sasa ni hayo tu. Tuendelee kushehelekea ushindi
Hongera kwako kiongozi...

Ila mwenye tunguli zake pale kati amerudi kwa kasi tena kwa hasira sana, mpaka una shangaa huyu mtu kweli katoka injury..?

Ila huyu Christensen sijui nimuelezeje ana nikosha mno kwakweli, mtoto katulia mno, ana kaba kiakili, akiwa na mpira hana papara anaumiliki ana piga pasi za uhakika. Ila ana akili ya kukaba kuliko kutumia nguvu.

Lakini conte simuelewagi kabisa kuhusu hazina hii tuliyonayo.
 
Hongera kwako kiongozi...

Ila mwenye tunguli zake pale kati amerudi kwa kasi tena kwa hasira sana, mpaka una shangaa huyu mtu kweli katoka injury..?

Ila huyu Christensen sijui nimuelezeje ana nikosha mno kwakweli, mtoto katulia mno, ana kaba kiakili, akiwa na mpira hana papara anaumiliki ana piga pasi za uhakika. Ila ana akili ya kukaba kuliko kutumia nguvu.

Lakini conte simuelewagi kabisa kuhusu hazina hii tuliyonayo.
Kz kwake Luiz benchi litamuhusu sn tu
 
Mwenzio KHALIFA AM nimemwambia alete starts atuzibe midomo tunam troll cahili kakimbia.
so naomba wewe utusaidie sisi tusiomkubali cahili ili tuonekane tuna chuki binafsi
wala sikukimbia kama unavyodhani bali niliona tunaongea lugha mbili tofauti hatutafikia mwafaka wewe umekariri mpira mimi nimeelewa mpira so niliamua kuto waste energy zangu kukuweka sawa.
 
Luiz amekosolewa sana na mchezo wa Roma kwamba yeye ndio sababu kubwa ya kushindwa kwa Timu. Nahisi Conte kama kasikia kilio cha wengi.japo Conte anadai ni technical dropping
Conte anapokuja nje ktk media hawezi msiliba mchezaji wake. Atatafuta maneno tu azibe hapo lkn ukweli ni kwamba Luiz kapigwa mkwara na akaambiwa benchi lazima limuhusu
 
wala sikukimbia kama unavyodhani bali niliona tunaongea lugha mbili tofauti hatutafikia mwafaka wewe umekariri mpira mimi nimeelewa mpira so niliamua kuto waste energy zangu kukuweka sawa.
Alichokua anaongea huyo mdau wala alikua hakijui na Leo yale tuliyomwambia ameyaona mwenye


What great performance for Gary Cahill today and Andre with Azpilicueta?
 
Kwa wale wapuuzi wachache wanaoangalia mpira bila kuelewa nini wanaangalia na nini maana ya mpira walikuwa wakisema:
1.Cahill akianza Chelsea inafungwa
2.Cahill akianza Chelsea haitoki na Clean Sheet
3.Cahill ndio chanzo cha Chelsea kufungwa magoli.
Leo naomba mrejesho wenu mnajijua haina haja ya kuwatag hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom