Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alichokua anaongea huyo mdau wala alikua hakijui na Leo yale tuliyomwambia ameyaona mwenye


What great performance for Gary Cahill today and Andre with Azpilicueta?
Mkuu mimi tangu jana nilishazisoma mentality za huyo jamaa wakuitwa Nando na mwenzie Kalou nikaona ntapoteza muda wangu na hawatokaa waelewe daima.
 
Mkuu ata wewe????

Mpe stahiki yake Captain wetu Cahill.
Bado Nina doubt naye sana, let him prove me wrong on the pitch kama alivyofanya leo, pia Mimi huwa sibebwi sana na matokea mazuri ya hapa na pale ,consistency ndio muhimu ..
 
naona unaruka ruka tu endelea kuruka ruka tu hivyo hivyo lakini bila ya shaka somo kuhusu Cahill lishaanza kuingia akilini mwako.
Hizi tabia za kujaza jukwaa kila timu ikishinda ziko kwenye jukwaa la Liverpool na Arsenal huko , sisi tuko hapa kiangazi na masika .Nakukaribisha tena jukwaani
 
Nilisema hivyo hivyo kwenye match vs Roma ila baada ya mechi hukuja kuni-quote
Mkuu if you are true blue you can't be like that.

Whether you lose or you win you have to be always true blue.
89b7992cac9befbe9a925c11e17e7d28.jpg
 
Bado Nina doubt naye sana, let him prove me wrong on the pitch kama alivyofanya leo, pia Mimi huwa sibebwi sana na matokea mazuri ya hapa na pale ,consistency ndio muhimu ..
Ata km Consistency ndio nzuri makosa ya wengine usimuangushie Cahill
 
Kuna vita baridi kati ya Conte na Kenedy pamoja na David Luiz. Sababu kuu ni kutotii maagizo ya meneja. Fate yao inaweza kuwa kama ya Costa kwani Conte kadai mchezaji yeyote anayekaidi maagizo yake hatacheza kwenye XI yake. Hata substitute hatapangwa na ndio maana hata kwenye sub Luiz na Kenedy hawapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom