Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nahitaji kufahamu makosa alofanya Cahill mpk tukafungwa sio kwamba akiwa yeye uwanjani basi tunafungwa. Mbona Luiz anakuwemo na tunafungwa? Na ata game ya ATM Luis alimvuta mtu ndani ya box ikawa penati na kughalimu timu na kuwasumbua wenzaka na kuwakatisha tamaa kwa experience defender km yeye kufanya makosa ya kipuuzi kabisa kitu ambacho sioni Cahill akifanya hayo makosa

Kosa kama hilo last season alifanya cahili kwenye league ila mechi nimeisahau,
luiz akifanya sio frequency
 
kosa lake kubwa anashusha morali ya wachezaji wenzie, ndo maana nkakwambia starts zinaonesha mechi zote alizoanza this season tumeshinda moja tu, ila alikuwa benchi tumeshinda zote.
Sasa kwa taarifa Cahill ni fighter sn kuzidi huyo Azpi na anahamasisha wenzake na kuwapigia kelele kuliko huyo Azpi. Cahil hana kasi tu km Azpi ndio mana Conte humpa nafasi ya kupumzika ya kutosha ili kukabiliana na big games

Zaidi ya hapo makosa mengine mnamsingizia wajameni tuweni wakweli jamani
 
Mourinho-6-800x504.jpg

Date: 4th November 2017 at 12:41pm
Written by: Llion Carbis
Chelsea’s game against Manchester United

This fixture represents one of the rare occasions where our opponents flaunt a superior record than ourselves. There have been 177 meetings between Chelsea and Manchester United; the Blues have been victorious in 52 of those fixtures while the Red Devils have been triumphant in 76 of those games, the other 49 were draws.

While the Red Devils flaunt the historical advantage with regards to this fixture, Antonio Conte’s team have displayed a degree of superiority in recent times.

The Blues have lost just one of their previous 15 home league games against Manchester United, recording nine victories and five draws in that period.
 
Kosa kama hilo last season alifanya cahili kwenye league ila mechi nimeisahau,
luiz akifanya sio frequency
Luiz mpk juzi alitoa Boko tukataka kufungwa au umesahau?

Bado Luis Hana nidhamu na Conte kamwambia asipofanya vzr na kubadilika atakalia benchi.

Sasa ni WP Cahill ameonywa?
 
Sasa kwa taarifa Cahill ni fighter sn kuzidi huyo Azpi na anahamasisha wenzake na kuwapigia kelele kuliko huyo Azpi. Cahil hana kasi tu km Azpi ndio mana Conte humpa nafasi ya kupumzika ya kutosha ili kukabiliana na big games

Zaidi ya hapo makosa mengine mnamsingizia wajameni tuweni wakweli jamani


perhaps kweli, maana leo kevin de brune kasema aliambiwa na gudiola wawatarget azpiculeta na alonso,
ndo madhaifu ya chelsea yalipo na kweli tukafungwa.
but raia wengi hatumuelewi cahili ndo maana mimi nkiona line up kapangwa naingia phamarcy kutafta panado.
 
Luiz mpk juzi alitoa Boko tukataka kufungwa au umesahau?

Bado Luis Hana nidhamu na Conte kamwambia asipofanya vzr na kubadilika atakalia benchi.

Sasa ni WP Cahill ameonywa?

LUIZ nidhamu ndo tatizo ila he is far away kwa cahili.
 
perhaps kweli, maana leo kevin de brune kasema aliambiwa na gudiola wawatarget azpiculeta na alonso,
ndo madhaifu ya chelsea yalipo na kweli tukafungwa.
but raia wengi hatumuelewi cahili ndo maana mimi nkiona line up kapangwa naingia phamarcy kutafta panado.
Usifate mkumbo mpira unauangalia wewe mwenyewe na kuutathmini wewe mwenyewe wala hautazamiwi na mtu so usifate mkumbo kumshambulia mtu kisa raia wengi.

So far mpk hapa umeshindwa kuyaainisha makosa ya Cahill kivovote. Be positive buddy and value our prayers for what they are doing.
 
Sio nidhamu tu ata makosa ya kijinga anayo na mbaya zaidi amejihakikishia no ndo imekua shida. Conte will drop him out soon
 
Usifate mkumbo mpira unauangalia wewe mwenyewe na kuutathmini wewe mwenyewe wala hautazamiwi na mtu so usifate mkumbo kumshambulia mtu kisa raia wengi.

So far mpk hapa umeshindwa kuyaainisha makosa ya Cahill kivovote. Be positive buddy and value our prayers for what they are doing.


Nimekwambia nipe starts za cahili as captain this season na azpiculeta as captain this season,
kwenye hizo starts nataka nione WINS AND CLEENSHEET.
 
Sio nidhamu tu ata makosa ya kijinga anayo na mbaya zaidi amejihakikishia no ndo imekua shida. Conte will drop him out soon


Lete starts za cahili as captain this season na azpiculeta as captain this season TUWAZIME MIDOMO WANAOMPONDA CAHILI.
 
Lete starts za cahili as captain this season na azpiculeta as captain this season TUWAZIME MIDOMO WANAOMPONDA CAHILI.
Stats ktk mjadala huu hazitusaidii kitu.

Last season alikua assistant captain alitusaidia tukainua ndoo Azpi hawezi kuongoza team
 
B879B40D999B49F1B6FA0ED8473865DD.ashx

04/11/2017 17:28, Report by Adam Higgins

JUAN MATA: CHELSEA GAME IS SPECIAL

Juan Mata regards Manchester United's crunch Premier League clash against Chelsea this weekend as "special" and "massive".

The Reds will be looking for a fourth successive win in all competitions when taking on champions Chelsea at Stamford Bridge on Sunday afternoon, in what is always an eagerly awaited clash in any season.

It has been a good week for Jose Mourinho's men, who took a step closer to qualifying for the UEFA Champions League knockout stages with Tuesday's 2-0 win over Benfica, after Anthony Martial's goal saw off Tottenham at Old Trafford.

Reflecting on the last seven days, Mata told MUTV: “It was great. Obviously facing a great rival like Tottenham, it was a massive three points for us and then keeping our winning record in the Champions League which almost took us to qualification so we are happy and now we face another special game.”
 
Stats ktk mjadala huu hazitusaidii kitu.

Last season alikua assistant captain alitusaidia tukainua ndoo Azpi hawezi kuongoza team

LETS STARTS SPEAK
LETE STARTS UTUZIBE MIDOMO WOTE TUNAOM CRITICISE CAHILI.
 
Stats ktk mjadala huu hazitusaidii kitu.

Last season alikua assistant captain alitusaidia tukainua ndoo Azpi hawezi kuongoza team

Mwenzio KHALIFA AM nimemwambia alete starts atuzibe midomo tunam troll cahili kakimbia.
so naomba wewe utusaidie sisi tusiomkubali cahili ili tuonekane tuna chuki binafsi
 
Chelsea legend John Terry set for long spell on the sidelines after suffering suspected broken metatarsal
Ex-Chelsea legend Terry was forced off after just 20 minutes of Aston Villa's 2-1 defeat to Sheffield Wednesday on Saturday

  • SPORT
    PAY-Championship-Aston-Villa-vs-Sheffield-Wednesday.jpg

    John Terry gets treatment on a suspected broken foot (Image: Action Images)
    • John Terry is facing a long spell on the sidelines after suffering a suspected broken metatarsal.

      Ex-Chelsea legend Terry was forced off after just 20 minutes of Aston Villa's 2-1 defeat to Sheffield Wednesday on Saturday.

      p:nth-of-type(2)","sizes":[[8,8]],"hideOnSensitiveArticle":true,"relativePos":"after","additionalClass":"in-article","name":"div-gpt-ad-vip-slot","type":"VIP"}" data-gpt-placeholder="" data-response-start="8429" data-type="gpt" data-requested="10584.000000000002" style="background: transparent; border: 0px; margin-bottom: 24px; outline: 0px; vertical-align: baseline; overflow: hidden; z-index: 1; height: 8px; max-height: 8px;">
      Terry, who has a one-year deal at Villa Park, was helped off the pitch by a physio before he was replaced by ex-Blackburn and QPR centre back Chris Samba.

      The defender was then taken to hospital for scans to determine the damage, but Villa boss Bruce let slip the extent of his layoff.
 
Mwenzio KHALIFA AM nimemwambia alete starts atuzibe midomo tunam troll cahili kakimbia.
so naomba wewe utusaidie sisi tusiomkubali cahili ili tuonekane tuna chuki binafsi
Tatizo sijui hunielewi.

Stats wala sio hoja yangu ya msingi.

Unapomtuhumu mtu kua anakosea au hafai ni vema kuainisha makosa yake na si kwamba eti akianza tunafungwa.

Mfano game ya juzi na Roma makosa walifanya wengine lawama atupiwe mwingine hii sio fair kabisa.
 
Chelsea’s converted striker could prove essential in midfield
by Will Faulks ( @willfaulks) on Nov 4, 2017, 5:48pm
driky.jpg




Danny Drinkwater is likely to play in midfield for Chelsea this weekend, and it will be a great relief for Antonio Conte to have such a reliable and focused defensive midfielder back in the side in the place of Cesc Fabregas.

In fact, in a recent interview with one of his old coaches it was revealed that Drinkwater used to play up front in his junior teams, and was quite the goalscorer at that level before dropping back into midfield as he got older.
 
Tatizo sijui hunielewi.

Stats wala sio hoja yangu ya msingi.

Unapomtuhumu mtu kua anakosea au hafai ni vema kuainisha makosa yake na si kwamba eti akianza tunafungwa.

Mfano game ya juzi na Roma makosa walifanya wengine lawama atupiwe mwingine hii sio fair kabisa.


Kama starts sio hoja kwako hasi hatuwezi elewana.
weka starts mezani sisi tunaom troll tuaibike.
 
Eden Hazard ready to foil Jose Mourinho’s man-marking tactic in Chelsea’s clash with Manchester United Metro Sport Reporter for Metro.co.ukSaturday 4 Nov 2017 5:17 pm Share this article with Facebook Share this article with Twitter Share this article with Google Plus Share this article through email 658 Eden Hazard is preparing to face Manchester United. (AMA/Getty Images) Eden Hazard admits he’s aware that Jose Mourinho could use another special tactic to stop him in Chelsea’s clash with Manchester United on Sunday. When the two sides met in April, the Belgian was effectively frozen out of the game due to a diligent man-marking display by Ander Herrera, which allowed United to run out 2-0 winners


Read more: Chelsea vs Man Utd: Eden Hazard reveals how to deal with Jose Mourinho's tactic | Metro News

Twitter: Metro (@MetroUK) | Twitter | Facebook: https://www.facebook.com/MetroUK/
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom