kalou
JF-Expert Member
- Aug 22, 2009
- 4,992
- 3,879
Na yule Traole wa OL tulimuuza moja kwa moja au kwa mkopo?Hauzwi mkuu. Ndo mana yuko hapo kz anaijua
Na yule Traole wa OL tulimuuza moja kwa moja au kwa mkopo?Hauzwi mkuu. Ndo mana yuko hapo kz anaijua
Tuyaache haya,ila tukimuuza huyu dogo Adreas tutapata laana haki ya nani tena
MmmmmhhhjKuna vita baridi kati ya Conte na Kenedy pamoja na David Luiz. Sababu kuu ni kutotii maagizo ya meneja. Fate yao inaweza kuwa kama ya Costa kwani Conte kadai mchezaji yeyote anayekaidi maagizo yake hatacheza kwenye XI yake. Hata substitute hatapangwa na ndio maana hata kwenye sub Luiz na Kenedy hawapo.
Kauzwa jumla lkn sio kwa Andre. Andy hauzwi. Andy ni wa big game tuNa yule Traole wa OL tulimuuza moja kwa moja au kwa mkopo?
kushinda jukwaani 24-7 sio kwamba ndio utakuwa unaweza ku analyse mpira vizuri kuliko wengine some of us tunakosa nafasi ya kushinda majukwaani kwasababu zilizo nje ya uwezo wetu na pia at times huwa naona napoteza energy na muda bure kumuelewesha mtu ambae hayupo tayari kuelewa.Hizi tabia za kujaza jukwaa kila timu ikishinda ziko kwenye jukwaa la Liverpool na Arsenal huko , sisi tuko hapa kiangazi na masika .Nakukaribisha tena jukwaani
Nani wa "Small" game sasa.. ? Maana huyu kocha wetu next match lazima atapangua tena ile defense .Kauzwa jumla lkn sio kwa Andre. Andy hauzwi. Andy ni wa big game tu
Kitu kimoja inabidi unielewe mkuu nahisi Mimi nina over expectation kwa Cahill ,yaani kila mistake ikitokea kwenye defense Mimi mtu wa kwanza kumuangalia yuko wapi ni Cahill l.Hauzwi mkuu. Ndo mana yuko hapo kz anaijua
Uangalii vizuri mpira au yawezekana unaangalia bila kuelewa. Mtazame interception zake, tackling anazofanya, alafu mwangalie muda ambao hana mpira ndo utajua Bakayoko ni mchezaji wa aina gani. Tatizo lake kubwa ni kwamba pass zake zinakosa accuracy kwa kiasi fulani ila as long as yuko na Conte atakuja kuwa bonge la midfielder kama alivyokuwa Essien au MakerereLuiz sasa hv anacheza kifaza faza sana....afu Bakayoko yan ndo simuelewgi kabisa
Na tayari ameanza kupunguza makosa ya passes zake. Angalia mpira wa Leo alivocheza kacheza bomba la mpira na kila sehemu alikuawepo. Jamaa ameanza kua anakimbia kila sehemu yupo km KanteUangalii vizuri mpira au yawezekana unaangalia bila kuelewa. Mtazame interception zake, tackling anazofanya, alafu mwangalie muda ambao hana mpira ndo utajua Bakayoko ni mchezaji wa aina gani. Tatizo lake kubwa ni kwamba pass zake zinakosa accuracy kwa kiasi fulani ila as long as yuko na Conte atakuja kuwa bonge la midfielder kama alivyokuwa Essien au Makerere
Na tayari ameanza kupunguza makosa ya passes zake. Angalia mpira wa Leo alivocheza kacheza bomba la mpira na kila sehemu alikuawepo. Jamaa ameanza kua anakimbia kila sehemu yupo km Kante
Kitu kimoja inabidi unielewe mkuu nahisi Mimi nina over expectation kwa Cahill ,yaani kila mistake ikitokea kwenye defense Mimi mtu wa kwanza kumuangalia yuko wapi ni Cahill l.
Kante effectCaptain kama kawa, hakuna clean sheet hapa