Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu ni bora hili swala ukalipotezea. Jaribu tu kuwa mwelewa. Msimu uliopita Cahili ndo alikuwa Captain msaidizi na ameisaidia Chelsea kubeba ndoo. Makosa ya Chelsea tuyaangalie in three dimension not form Cahill perspective. John Terry amekuwa Captain ila hatukuchukua vikombe kila msimu. Na pale tuliposhindwa kuchukua vikombe siyo Terry tu ambaye angebeba lawama.
Tatizo watu wanafata mikumbo. Huwezi mlaumu Cahill wakati Hana makosa
 
Mimi nachoamini siasa za Chelsea zilivyo hasa kocha akizinguana na mchezaji wake, Kitendo cha Conte kumtumia txt Diego kimewapa mshtuko wachezaji kwa maana jinsi Chelsea ilivyo ataondoka tu. Watu wanacheza chini ya kiwango ikiwa ni pamoja na kuchomesha, kuna kitu kinaendelea ni suala la muda tu!
Hoja yako inaweza kuwa na substance ila impact yake ni ndogo sana. Maana watu wa Costa ni Luiz, William nafikiri na Fab. Je na Morata na yeye ni sababu ya Costa? Na Bakayoko je? Batshuayi?
 
Mie tena habibi????


Leo wachezaji wangu walioko kwako kwa mkopo wanarudi home.

Mourinho

Matic

Mata

Lukaku

What's the joy to meet them again???
Sasa hao Leo watawanyoosha. Msianze tuu
Ooohhh sijui refa...
Sijui red card nk
 
Screenshot_20171105-172315.png

Eneo ambalo Matic anamzidi Bakayoko ni passing tu ila kulinda na kuzuia mashambulizi Bakayoko anamzidi Matic
 
98cb1d7b6f52a7223d18d6deeddd6c28.jpg

Kama conte ana akili apange kikosi namna hii nakuhakikishia tunashinda hii match
Sio ana mweka tena aspi katikati anakera sana wakati mwingine
 
Kwahiyo hata kama team yetu inaungwa kizembe na kucheza mpira mbovu tusikosoe tukae kimya kama tumekatwa vichwa sio?????????????????
hivi unajua jinsi sisi die hard fans tunavoumia chelsea ikifungwa na kucheza mpira mbovu kama sunderland???????????
nadhani wewe utakuwa fan wa wenger.
ningekuwa arsenal sijui kama ningekuwa mzima mpaka sasa.
 
Sina shida na mchezaji yeyote wa chelsea
Ila cahill ananipa wasiwasi na ukabaji wake wa kurudi nyuma
 

Predictions for Chelsea v Manchester United (4.30pm, live on Sky Sports Premier League) (7:30pm East Africa Time)

524.png
210.png

Chelsea vs Man Utd
November 5, 2017, 4:15pm​

Live on
4010-Logo.svg


  1. Merse predicts: 1-0 and Morata to score first (16/1 with Sky Bet)
  2. Charlie predicts: 2-1 and Hazard to score first (40/1 with Sky Bet)
  3. Thommo predicts: 1-1 and Morata to score first (18/1 with Sky Bet)
  4. Le Tiss predicts: 1-1 and Hazard to score first (18/1 with Sky Bet)

Source: Soccer Saturday pundits predict Man City v Arsenal and Chelsea v Man Utd
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom