Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Siku ukimwona aspi ameanzishwa kati basi jua tunafungwa
Ila kikosi cha leo nimekipenda hata cahili amenisaprise leo

Conte inabidi ashikilie hiki kikosi
Mkuu Costa ameondoka, Matic naye. Wameingia watu 5 kwa hiyo muda unavyoenda tutapata kikosi cha maana. Napata shida upande wa kushoto kati ya Cahili na Rudigar nani aanze. Ila Luiz akileta utoto wake na nidhamu mbovu atakaa kwa dogo Christensen
 
Kwa ujumla Man U walizidiwa kila idara
Pamoja na kucheza vizuri dk 20 za mwanzo, the rest walikuwa wakikimbiza mpira tu. Short on target za Che zingepigwa vizuri Man U wangefungwa hata zaidi ya matatu
 
Habari za mida wadau wa Chelsea.

Niwape hongera sn kwa ushindi mzuri wa Leo.


Vile vile nipende tu kuwashsuri wapenzi wa Chelsea wenzangu tupende kusapoti team yetu na wachezaji wetu ktk Hali yoyote ile. Na tusifate mkumbo wa hbr zisizo na mashiko.


Hapo nyuma kulikua na mjadala mkubwa sn juu ya wachezaji baadhi wa Chelsea. Leo mmeona wenyewe. Sasa mna kipi cha kujifunza au kuelezea kutokana na mchezo wa Leo?

Nilitoa michango hapo nyuma na nikaelezea matatizo yanayo isibu Chelsea.


Moja ya sbbu nilisema ile Hunger ya kufunga au kushinda ya wachezaji wa Chelsea imeshuka. Na Leo mmeona ilivorudi.

Nilieleza kwamba Conte asimpange Azpilicueta km wingback na kujaza mabeki kibao kuna ifanya team inakua butu mana Azpi hawezi siku hizi kupandisha mipira mbele. Nikasema sasa ni wakati wa Conte kuwaamini kina Zappacosta na Christensen. Na Leo amefanya hivo matokeo yake mmeyaona.


Kitu kingine Leo Conte alichofanya ni kumpunguzia Faby majukumu ya ukabaji sn na badala yake atengeneze passes za kumwaga. Mmeona Leo kz yake.???


Nimpongeze sn Christensen kwa kiwango chake kizuri mana alimfunika kabisa Lukaku.

Pia nafikiri ata mjadala kuhusu Cahill sasa nafikiri utakua umefungwa. Mana amewaprove wote wrong.

Kwa sasa ni hayo tu. Tuendelee kushehelekea ushindi
 
Leo hakua na majukumu ya kukaba.

Hayo majukumu yamefanywa na mjukuu wa Mama Ndalichako Ngolo Kate na Kidogo Bakayoko. Umeona Faby ata alivyokua anakimbia?? Kizembe lkn pass lazima ifike nyuma ya mabeki na Morata anawakosa kosa
Imebidi nicheke tuu
 
c82a69d0bbd72dd18ba3ef01dfb85cc1.jpg
 
Timu imecheza vizuri sana ujio wa kante umesaidia sana kati ukapatikana uhuru wa fabregas na bakayoko mapungufu yetu tangu msimu uanze timu imekosa umakini hasa kwenye mipira ya mwisho
Kweli mkuu...Leo man u angeogea Magoli mengi sana. Basi tu...all in all tumepata 3 points
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom