Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Duh umemuona na wewe!?? Dah yani anajog kabisa bila stress.

Ila kwa Bakayoko nailaumu mgt ya timu iliyomuuza Matic.
Kocha ndiye anayepanga kikosi ila naona upangaji wake anachanganya mambo mtu kama zapacosta hakuwa wa kukaa benchi leo na pia kiungo ya fab na kante ni kuuruhusu timu pinzani ikutawale
 
Kocha ndiye anayepanga kikosi ila naona upangaji wake anachanganya mambo mtu kama zapacosta hakuwa wa kukaa benchi leo na pia kiungo ya fab na kante ni kuuruhusu timu pinzani ikutawale
Wakuu makosa ya Conte ni madogo, mm ukiniulza ntakwambia tuna tm mbovu sana na wachezaj wapo butu sana ukilinganisha na majna yao..
Watu wanacheza kizembe sana timu haina spirit

Nadhan tujipange labda dirisha dogo tununue vifaa otherwise tujpange mwakan upyaaa
 
Hivi conte anawapanga bakayoko na faregas pamoja? Wote ni wazembe kukaba, halafu anampanga Cahill na kumuacha yule dogo beki, zapacosta unamwacha, huyu atafukuzwa tu si muda mrefu. Tunafungwa na timu kizembe sana jana, baadhi ya wachezaji ni wachovu, morata akiguswa analialia, Pedro kiwango kwisha KBS
 
na kama wasipobadilka tutaendelea umia kila siku kila siku watu wataumia maana wale wachezaji ni kama hawataki hata funga...
morata hyo hela bora wangejengea kiwanda cha maji ya drip

wachezaji 80 wanaonunuliwa kwa bei kubwa huwa hawafanyi la maana chelsea
 
Kwa sisi tunaojua kikosi chetu kinavyopangwa tulijua tutafungwa magoli mengi tu
Huwezi kumweka aspi katikati
Huwezi kuanza na fabi katikati wakati unajua Roma wana de rose
Kikosi changu ningepanga ifuatavyo hata kama kante hskucheza jana
Rudiger, luiz, asp
Alonso,bakayoko,drinkwater,zappa
Pedro,morata,hazard

Hiki kikosi kisingefungwa na kngepata hata sare tu
 
na kama wasipobadilka tutaendelea umia kila siku kila siku watu wataumia maana wale wachezaji ni kama hawataki hata funga...
morata hyo hela bora wangejengea kiwanda cha maji ya drip

wachezaji 80 wanaonunuliwa kwa bei kubwa huwa hawafanyi la maana chelsea
Aah ni kwel mkuu tunawachezaji wazuri sana wenye rate kubwa ya fifa lakini tunakua kama real madrid, winning sipirit hamna kabsa timu inacheza kama wachezaj wamepooza vilee....,,

Yan huwez amini tmu inapigwa anahangaika hazard peke yak uwanja mzma, huyo pedro hajapga hata shut mojaa duuh!! Kwel tunaend kua Bijampola UTD.....
 
11b704ed78d9ac1dea583cbbcbd70962.jpg
 
huwa siamini katika kutumia hela nyingi kununua majina... na ndio maana washambuliaji wote waliowahi nunuliwa na chelsea kwa gharama wameishia kuaibika tu.. yaani mtu wa 70, 50 mil pounds anazidiwa na wale wanao okotwa bure na timu za ligi ya kwanza(championship)

chelsea iwekeze kwenye youth iachane na kununua majina......
kikosi chetu jana kama vile walikuwa wamechoka au kuna mtu wanamkomesha
 
Wakuu makosa ya Conte ni madogo, mm ukiniulza ntakwambia tuna tm mbovu sana na wachezaj wapo butu sana ukilinganisha na majna yao..
Watu wanacheza kizembe sana timu haina spirit

Nadhan tujipange labda dirisha dogo tununue vifaa otherwise tujpange mwakan upyaaa
Tuna hitaji mashabiki aina kama yako humu...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom