Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

UYU KOCHA MINAONA KIBARUA KINAOTA NYASI SOON MBONA ANATUHARIBIA TIMU YANI ROMA NIWAKUMSHINDWA KWELI VP WAKIJA KINA MAN U AU PSG
DAAAAH
 
Aah ni kwel mkuu tunawachezaji wazuri sana wenye rate kubwa ya fifa lakini tunakua kama real madrid, winning sipirit hamna kabsa timu inacheza kama wachezaj wamepooza vilee....,,

Yan huwez amini tmu inapigwa anahangaika hazard peke yak uwanja mzma, huyo pedro hajapga hata shut mojaa duuh!! Kwel tunaend kua Bijampola UTD.....
Pedro hajapiga hata shuti moja...?
 
UYU KOCHA MINAONA KIBARUA KINAOTA NYASI SOON MBONA ANATUHARIBIA TIMU YANI ROMA NIWAKUMSHINDWA KWELI VP WAKIJA KINA MAN U AU PSG
DAAAAH
We Mkata viuno naona unjitekenya na kucheka mwenyewe
 
Miguu michafu ya kina Hazzard. Miguu Iliyobeba nyayo zenye vumbi la dhambi. Ilipothubutu tu kuikanyaga ardhi takatifu ya mji wa Roma. Ardhi ikapiga kelele ishara ya kwamba kuna watu wamekuja kuitia najisi nchi. Ndipo gavana katili wa mji wa Roma akawauliza Dzeko na El Shalaw. Mnataka nimfanyeje CHELSEA?!! Zikasikika kelele ASULUBIWE! ASULUBIWE!

Basi gavana akaamuru Chelsea atendewe kama watu wa mji wa Roma watakavyo.
Roma wakamtwaa Chelsea, wakamfanyia dhihaka kwa kumvika nepi kichwani, kisha wakamnyoa ndevu kwa vijinga vya moto.

Wakamtundika kwenye mbao zilizotengezwa mfano wa msalaba. Kisha wakampigilia misumari mikubwa mi 3. Mikononi na miguuni. Juu ya kichwa chake wakaweka kibao chenye maneno ya kiitaliano.. Mosi serta hora inserta. Yaani, HUYU NDIYE MFALME WA LIGI KUU YA ENGLAND.

Baadhi ya askari wasiojua tafsiri ya neno utu tangu wazaliwe. Wakamuona Abromovic amejificha akishuhudia mateso ya Chelsea. Wakamfuata nakumuuliza. Wewe nawe u sehemu ya watu hawa?!! Abromovic akaikana Chelsea mara 3 kwa kusema maneno haya..

SIJAWAJUA WATU HAO TANGU KUZALIWA KWANGU.'' Baada ya hapo akatoka mbio mithili ya kibaka aliyeichoropoa shingo yake kwenye tairi la moto.
 
Miguu michafu ya kina Hazzard. Miguu Iliyobeba nyayo zenye vumbi la dhambi. Ilipothubutu tu kuikanyaga ardhi takatifu ya mji wa Roma. Ardhi ikapiga kelele ishara ya kwamba kuna watu wamekuja kuitia najisi nchi. Ndipo gavana katili wa mji wa Roma akawauliza Dzeko na El Shalaw. Mnataka nimfanyeje CHELSEA?!! Zikasikika kelele ASULUBIWE! ASULUBIWE!

Basi gavana akaamuru Chelsea atendewe kama watu wa mji wa Roma watakavyo.
Roma wakamtwaa Chelsea, wakamfanyia dhihaka kwa kumvika nepi kichwani, kisha wakamnyoa ndevu kwa vijinga vya moto.

Wakamtundika kwenye mbao zilizotengezwa mfano wa msalaba. Kisha wakampigilia misumari mikubwa mi 3. Mikononi na miguuni. Juu ya kichwa chake wakaweka kibao chenye maneno ya kiitaliano.. Mosi serta hora inserta. Yaani, HUYU NDIYE MFALME WA LIGI KUU YA ENGLAND.

Baadhi ya askari wasiojua tafsiri ya neno utu tangu wazaliwe. Wakamuona Abromovic amejificha akishuhudia mateso ya Chelsea. Wakamfuata nakumuuliza. Wewe nawe u sehemu ya watu hawa?!! Abromovic akaikana Chelsea mara 3 kwa kusema maneno haya..

SIJAWAJUA WATU HAO TANGU KUZALIWA KWANGU.'' Baada ya hapo akatoka mbio mithili ya kibaka aliyeichoropoa shingo yake kwenye tairi la moto.
kiongozi unapunguza umri wa watu kuishi ujue!!
 
Miguu michafu ya kina Hazzard. Miguu Iliyobeba nyayo zenye vumbi la dhambi. Ilipothubutu tu kuikanyaga ardhi takatifu ya mji wa Roma. Ardhi ikapiga kelele ishara ya kwamba kuna watu wamekuja kuitia najisi nchi. Ndipo gavana katili wa mji wa Roma akawauliza Dzeko na El Shalaw. Mnataka nimfanyeje CHELSEA?!! Zikasikika kelele ASULUBIWE! ASULUBIWE!

Basi gavana akaamuru Chelsea atendewe kama watu wa mji wa Roma watakavyo.
Roma wakamtwaa Chelsea, wakamfanyia dhihaka kwa kumvika nepi kichwani, kisha wakamnyoa ndevu kwa vijinga vya moto.

Wakamtundika kwenye mbao zilizotengezwa mfano wa msalaba. Kisha wakampigilia misumari mikubwa mi 3. Mikononi na miguuni. Juu ya kichwa chake wakaweka kibao chenye maneno ya kiitaliano.. Mosi serta hora inserta. Yaani, HUYU NDIYE MFALME WA LIGI KUU YA ENGLAND.

Baadhi ya askari wasiojua tafsiri ya neno utu tangu wazaliwe. Wakamuona Abromovic amejificha akishuhudia mateso ya Chelsea. Wakamfuata nakumuuliza. Wewe nawe u sehemu ya watu hawa?!! Abromovic akaikana Chelsea mara 3 kwa kusema maneno haya..

SIJAWAJUA WATU HAO TANGU KUZALIWA KWANGU.'' Baada ya hapo akatoka mbio mithili ya kibaka aliyeichoropoa shingo yake kwenye tairi la moto.
asante kwa kuniongezea siku ya kuishi. Umetisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom