Guantanamo Sobibor
JF-Expert Member
- Aug 20, 2017
- 897
- 1,133
Kwa nn bahati isje kwako yai viza wwMsimu uliopita mlibahatisha kubeba kombe msimu mtaisoma namba!!
HhahaaaCrystal Palace Last 5 PL Games
0-2 Swansea
0-1 Burnley
0-1 Southampton
0-5 Man City
0-4 Man Utd
But
2 Vs 1 Chelsea..
Akati ligi unaanza mlisema subilini October naona mmeanza pandisha sikuvIla team yako mbovu, mark my word february ikifika ulete mrejesho.
Keep The Blue Flag Flying HighKuteleza sio kuanguka bado naimani na chama langu
So????????
Acha uongoMara YA mwisho United kuchukua ubingwa wa EPL, mji wa Tanga ulikuwa na hadhi manispaa.
Huna haja ya kubishana nao hao mkuu, akili bado haijakaa sawa, kupigwa na timu inayoshika mkia si mchezo unajua?Acha uongo

Kweli kipigo kimefanya achanganyikiwe. Hajui mwaka 2005 Tanga iliitwa Jiji.Huna haja ya kubishana nao hao mkuu, akili bado haijakaa sawa, kupigwa na timu inayoshika mkia si mchezo unajua?
Subiri michubuko ipone pone kidogo akili ndio itaanza kuwarudi.
C. Palace ni noumaaaaaaaa
Hivi ungekua unaongoza unaongoza ligi ingekuaje.? Maana unaropoka ropoka tu. Bado unahitajika ujihimarishe Liverpool kakushika shika matako ngoja big game nyingine zinakuja na kakikosi kako.Wakati huo unapambana kutoshuka daraja, kwa ule mpira uliocheza jana. Chelsea inatakiwa kucheza Championship na sio Premier League.
Hapo bado haujakutana na New Castle, Watford, Huddlesfield.![]()