Ndugu zanguni msife moyo!
Ndiyo soka kuna up(s)and down(s)!
Mtakuwa OK lkn Majogoo yanachukua points zote 6 toka kwenu safari hii
MUNGU MKUU, Drinkwater na morata safi! Oh, wonderful!
nakubaliana na wewe lakini nadhani kocha atampanga Azpilicueta ile nafasi ya Moses leo halafu nyuma pale kwa Azpilicueta atampanga Rüdiger kama alivyofanya mechi ya Man City nahisi atafanya hivyo leo sina uhakika lakini.Kosa litakuwa kumpanga Azpilicueta nafasi ya Moses. Ni heri Azpi abaki nafasi yake na Zappacosta acheze nafasi ya Moses. Mabadiliko mengine yeyote yafanyike baada ya mechi kuanza.
Azpilicueta analeta balance kwenye defence na akama tuko vizuri kwa defence then mara moja moja anaweza kupanda kusaidia mashambulizi. Kumuweka wingback ni kumpunguzia nguvu ya kukaba.
Nakubaliana na ww hili swala la Azpilicueta kucheza wingback linapunguza kabisa mashambulizi wakati yupo zapacosta anayeweza vizuri kucheza nafasi hiyoKosa litakuwa kumpanga Azpilicueta nafasi ya Moses. Ni heri Azpi abaki nafasi yake na Zappacosta acheze nafasi ya Moses. Mabadiliko mengine yeyote yafanyike baada ya mechi kuanza.
Azpilicueta analeta balance kwenye defence na akama tuko vizuri kwa defence then mara moja moja anaweza kupanda kusaidia mashambulizi. Kumuweka wingback ni kumpunguzia nguvu ya kukaba.
Mfumo mtamu sana huo kwa leo.
Nani aitake ile takatakaAsee alaf nmeckia Barca wanaanza kumfukuzia na Marcos Alonso duuh!!....
Aisee kuna mashabiki wengine maandazi yani unawaza et mnaweza tetea ubingwa Daaaah aisee ww kashangilie netballNafikiri conte na boss wake mwaka huu wamefanya kosa moja ambalo ni kuwa na kikosi kidogo yaani mechi zote wachezaji ni walewale nina wasiwasi kama tunaweza kutetea kombe mwaka huu
Sio kikosi kidogo ni ugumu wa conte kubadilisha tuNafikiri conte na boss wake mwaka huu wamefanya kosa moja ambalo ni kuwa na kikosi kidogo yaani mechi zote wachezaji ni walewale nina wasiwasi kama tunaweza kutetea kombe mwaka huu
Hapo saf kabsaa....Kikosi changu cha leo
Rudiger, aspiliqueta,christiensen
Alonso,luiz,bakayoko,zappacosta
Hazard, morata, pedro
Kinyume na hapa tunafungwa tena
Yangu macho
Nani aitake ile takataka


. Kwako takataka ila wao wanajua umuhimu wakee....Nani kasema acheni kuwapakazia watu tule source sio unaamka unaleta upuuzi uu. Kwako takataka ila wao wanajua umuhimu wakee....
Kiazi wwAisee kuna mashabiki wengine maandazi yani unawaza et mnaweza tetea ubingwa Daaaah aisee ww kashangilie netball
Akuna kikombe chochote mwaka uu mark my words
nakubaliana na wewe kwa asilimia zoteSio kikosi kidogo ni ugumu wa conte kubadilisha tu
Tuna upungufu wa striker tu lakini kote kumekamilika
watu kama hao wanatafuta attention unawapuuzia tu mkuu haina haja ya kumjibu.. Kwako takataka ila wao wanajua umuhimu wakee....