Sadiki Abdallah
JF-Expert Member
- Jul 13, 2016
- 885
- 583
Ww CHELSEA inakunyima sana usingizi
Ww CHELSEA inakunyima sana usingizi
Kama unaifatilia timu basi uje na hoja nyengine maana kwa hoja hiyo ya spirit nimeshakupa mifano ya mechi kadhaa hapo juu.Naifatilia timu mwanzo mwisho na sio leo tu, spirit ya timu kuchukua ubingwa ndani ya mechi hizi nane ingeshajionesha kaka,
Anyway hapa ni lazima tukubali kutokubaliana, kwangu mimi tuna kikosi chepesi sana sana,
Mara YA mwisho United kuchukua ubingwa wa EPL, mji wa Tanga ulikuwa na hadhi manispaa.
Tammy Abraham na huyo dogo wanacheza nafasi mbili tofauti.Tammy Abraham ni mshambuliaji wa kati huyo dogo ni winga sasa hapo kuna uhusiano gani?Wangetoa huyo dogo akabak Tammy Abraham.... Ata Conte mwenyew alilia sana Tammy abaki ila board ya chelsea ni washenz sijui shiit...,,,???
Kwan mkuu Elizer hakucheza?‘I don’t like to lose, especially twice in a row. For sure today my soul is bad and it will be difficult for me to sleep, but we must have the same sensation, me and my players, to turn a negative situation into a positive.’
![]()
Cha kusikitisha ni kwamba licha ya muda wote huo still hamjafikia hata nusu ya EPL tulizonazoMara YA mwisho United kuchukua ubingwa wa EPL, mji wa Tanga ulikuwa na hadhi manispaa.
Tatizo sio nafasi ila ni idadi ya kikosi mkuu, Musonda mi naona anajaza ukubwa wa kikosi bora Tammy angebak Musonda akaenda zake.Tammy Abraham na huyo dogo wanacheza nafasi mbili tofauti.Tammy Abraham ni mshambuliaji wa kati huyo dogo ni winga sasa hapo kuna uhusiano gani?
Ni kama vile useme bora tungembakisha Zouma halafu tumtoe kwa mkopo huyo dogo wakati nafasi zao hazihusiani.Nadhani ulipaswa kusema tulitakiwa kumbakisha Tammy Abraham tumtoe kwa mkopo Batshuayi.
Ukubwa wa kikosi narudia tena, ukumbule kikosi cha EPL kina wachezaji 25 tuu, Musonda angesepa amejaza nafas tuu.....Tammy Abraham na huyo dogo wanacheza nafasi mbili tofauti.Tammy Abraham ni mshambuliaji wa kati huyo dogo ni winga sasa hapo kuna uhusiano gani?
Ni kama vile useme bora tungembakisha Zouma halafu tumtoe kwa mkopo huyo dogo wakati nafasi zao hazihusiani.Nadhani ulipaswa kusema tulitakiwa kumbakisha Tammy Abraham tumtoe kwa mkopo Batshuayi.
Unashindwa kuelewa kwamba Abraham hachezi nafasi ya Musonda hivyo uwepo wa Musonda hauthiri nafasi ya Abraham kutokuwepo.Lets assume Musonda hayupo yupo Abraham. Je angweza kugombania namba na Morata na Batshuayi? Kitu ambacho kingekuwa vigumu kwake kupata nafasi ya kucheza mara kwa marau kwani hata huyo Batshuayi hapati nafasi mara nyingi anapokuwepo Morata ukizingatia kinda anahitaji muda wa kucheza ili kujijengea kiwango na si kukaa bench ndiyo maana wanalilia kutolewa kwa mkopo ama kuuzwa moja kwa moja mfano akina Chalobah,Ake,Loftus-Cheek,Zouma n.kUkubwa wa kikosi narudia tena, ukumbule kikosi cha EPL kina wachezaji 25 tuu, Musonda angesepa amejaza nafas tuu.....
Kama unaifatilia timu basi uje na hoja nyengine maana kwa hoja hiyo ya spirit nimeshakupa mifano ya mechi kadhaa hapo juu.
Tuna kikosi chepesi kwa uthibitisho upi labda?
Hahaa mkuu nijibu basilTuliza mshono wanaume wapitishe sindano
Ukubwa wa kikosi narudia tena, ukumbule kikosi cha EPL kina wachezaji 25 tuu, Musonda angesepa amejaza nafas tuu.....
CONTE OUT!!!!!!!
uyu sio kocha wakuu iv hamuoni kama anatuharibia timu yetu daaah
huyo ni shabiki wa Man utd kaja kutupulizia tu achana naeShida ya Konte iko wapi?
Wewe huoni timu yetu ilivyo mbovu mkuu hata kwa palace katuacha pabaya sana AF kina bakayoko tuliingizwa mkenge aisee kama sio playerShida ya Konte iko wapi?
Hapana mkuu, kama tumefikia pahala pa kusema asipokuwepo morata na conte kwenye mechi ndogo kama ya jama ya crystal palace basi hatuna timu..Kabisa mkuu.