Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Ila team yako mbovu, mark my word february ikifika ulete mrejesho.
Vipi kuhusu ya kwako? Naona uneshikilia ya kwangu mbovu wakati mpaka sasa sijapoteza mechi yoyote na imeruhusu goli 2 tu.
Ya kwako vipi ambayo mpaka sasa imefungwa mechi 3 kati ya 8?
