eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Kabisa kwenye haya mashindano msimu huu zidane na real madridi yake ndio tishioHalina ubishi mkuu na ukizingatia ronaldo na benzema umr umeenda
Hongereni kwa ushindi wa jana sasa tushirikiane kumbana zizou yule peke yake anaonekana mtu mtu hatar ktk mashindano haya.
Bayern yuko na hali tete
Barcelona ni messi tu