Arsenal FCWewe ni shabiki wa timu gani?tuanzie hapo kwanza...
Mkuu wewe upo sahihi. Huyu Cahill na Luiz naona wanaanza kupwaya sana.Ila kwa mimi japo sio mshabiki wa chelsea mkuu namuona akicheza vizur rudiger na yule sijui christian nawaona wapo vizur sana tofaut na cahill ila luiz lazima awepo
Siyo aya ni hayaAya sawa mkuu tusubiri
Chelsea fans embu cikilizeni hii...
![]()
siyo>>>sioSiyo aya ni haya
Sana tuumsimu huu timu za uingereza zitafika mbali sana.... naona kila timu imejipanga vilivyo
Hahaaa. ..shda nn hukumalizia hzo dakika au full mapreshapreshakumbe jana tumeshinda
mi nimeacha mechi dakika ya 91
Yuko vizur sana, naona alkuwa anaisoma bado ligi ya englandMorata kaimalika uongo mbaya nliangalia gem ya jana na ya stoke city zile movement zake ni nzur kwa striker
Yuko vizur sana, naona alkuwa anaisoma bado ligi ya england
Sahv yuko poa sana, akiendelea hv na kujiboresha zaid hasa kupga vchwa sahh vya makros ya pemben basi atakuwa striker bora sana..
Mental disorderMsimu huu Chelsea itabeba ndoo kubwa UEFA hakuna wa kutuzuia timu nyingi mbovu