Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Kweli mzee..Halina ubishi mkuu na ukizingatia ronaldo na benzema umr umeenda
Hongereni kwa ushindi wa jana sasa tushirikiane kumbana zizou yule peke yake anaonekana mtu mtu hatar ktk mashindano haya.
Na nyie hongereni bhana
