Sawa mzee.tuzidi kumuamini.atupe mambo matamuKijana kaonesha perfomance na skills zake. Hiyo ndo maana yangu.
o alikuwa vyema sana wacha nimpe sifa zake akiboronga nitamsema tu maana wakati mwingine anatugarimuvipi match ya leo ilikuwa nyepesi? hata kama wewe humuamini nahodha Conte anamuamini ma mechi ya City ataanza kama kawaida.
Hapa ndipo aliponiudhi mkuu kwenye hii matchhawaijui Chelsea hao achana nao walimuona Cahill mecho ya Burnley ile basi.
Mchezaji akiharibu ni lazima asemwe tuvipi na yeye awe anakaa bench au?
Madrid wanajuuta kumuuza![]()
Alvaro Morata levelled the scores for Chelsea on the hour mark, heading in past Jan Oblak from Eden Hazard's pinpoint cross
![]()
The ex-Real Madrid forward is embraced by Antonio Conte after getting his side back into tie with a brilliant glancing header
Mchezaji akiharibu ni lazima asemwe tu
Akifanya poa atapongezwa
Cahill jana alikuwa vizuri
Madrid wanajuuta kumuuza
Auzwe basihalafu kuna wapuuzi humu wanasupport ujinga kama ule kila siku huwa nasema Luiz anaicost timu kwa mambo kama yale ya kitoto na laiti kama angefanya Cahill vile ungeona povu la mashabiki.
Yarudie tena maneno hayaYaani kwa kweli leo naomba sana Cahil aanzie bench, maana toka nione uwezo wa Rudiger Cahil akicheza nakuwa sina amani kabisa kabisa
Hayo maneno yatakuwa hivyo siku zote. Cahil akiwa uwanjani sina amani Mkuu.Yarudie tena maneno haya
Thank manMajirani mmeupiga mwingi hongereni mlistahili ushindi
