Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HII NI YA MADOGO:

44C87DAB00000578-4925996-image-m-87_1506526696908.jpg


Jacob Maddox scored an incredible individual goal in Chelsea U19's 3-1 victory

44C87D2D00000578-4925996-image-m-89_1506526772928.jpg


Maddox collected the ball in his own half before smashing home on the edge of the area
 
44CD3B9100000578-0-image-a-204_1506555943783.jpg


Michy Batshuayi was all smiles as he posed with Fernando Torres and Diego Costa

'Great honour to meet one of the great strikers I used to watch when I was younger... and no I'm not talking about Diego.' - Batshuayi
 
Mchezaji akiharibu ni lazima asemwe tu
Akifanya poa atapongezwa
Cahill jana alikuwa vizuri

Kaka naona wewe humkubali Cahill kabisa, Mbona ni neki mzuri sana. Anyway Luis naona ameanza kulegea na ndio kwa sasa anaonekana kuwa weak link, Mechi na Arsenal angetucost kwa kadi nyekundu ya kujitakia kabisa, faulo ya jana ni ya halali kabisa, nadhani anaanza kupoteza focus ya kujua makujumu yake,
Japokuwa Chelsea tunachezesha mabeki watatu nyuma, lakini mara zote kuna kuwa na sweeper au Libero mmoja na Luis ndio huwa mtu wa Mwisho, lakini kwa sasa anatucot na faulo zake zinaigharimu timu
 
Carhilk thayuko fit msimu huu, hizi ligi za ulya sio kama hizi za huku kwetu zinazotumia majna makubwa. Akae benchi mpaka atakapokuwa fit, kila mechi ni fainali na inatakwa a strong team. Kocha anawajua wachezaji kuliko sisi. Hivyo nawashangaa sana wanaomtetea Car Hill acheze wakati kwa sasa ni mzigo. Afanye mazoezi ya kutosha akiwa fit kocha atampa namba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom