radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ni kweli mkuu. Imemchukua muda mfupi sana ku cope mazingira mapya. Kuhimili maneno na majungu. Ndio uzuri wa wazungu bhana
Na nilitegemea tu akirud hazard huyu dogo atakuwa free zaidi kipind kile anacheza key player wako bench hasa hazard na bakayoko dogo alikuwa na presha na timu inahitaj matokeo mwenye timu hazard hayupo