Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ile ilikuwa ni tottenham 0-chelsea 2 kulingana namm, batshuayi angekaa nje tu naona mpnz wetu morata Ana Balance kwenye kikosi now, katikati bakayoko hajaonekana ila ni mechi yake ya Kwanza nevertheless,
Tusahau machungu ya last week

iPhone 6s
 
Pamoja Sana Mkuu Toka Gem Ya Burnley Mliyofungwa Nilipita Hapa Nikawaambia Mmejitahid Sana Niliona Ile Gem Ki Ukweli Chelsea Ni Timu Ngumu Sana Mnapambana Huu Moto Uende Had Eufa Timu Za England Zirudishe Ule Utawala Wa Kucheza Wao Final Na Nusu Palinoga Sana.


point mkuu, big up.
 
Dah hongera sana chama langu..
Ndiyo narudi hapa kutoka ibadani ngoja nipitie walau previews kabla sijaja kumwaga mchango wangu.



Sent using Jamii Forums mobile app


Chelsea Mkuu Bila Unafik Timu Ngumu Sana Pale Epl Kwa Sasa Ndo Timu Ambayo Naona Bado Jiwe Huwa Nawashangaa Sana Wachambuz Wanavyoiona Kama Timu Nyepes Ki Uhalisia Haipo Hivyo Ni Mshindani Wa Uhakika Akirud Hazard Dogo Morata Atapata Msaada Mkubwa Sana Ana Movement Nzur Sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom