Mkuu Mlikimbia Hapa Tulikuwa Na Eden Kimario Tu Hongeren The Blues Naona London Yote Mmeimeza Arsenal,crystal Palace,west Ham Na Spurs Mwenyewe Wamedundwa.
siwezi kimbia mkuu, nili concentrate kuangalia game.
now ndo nimetia team hapa. mtakimbia wenyewe kama spurz.