Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,328
- 7,804
Wale wambeambea waje sasa
Kuna swali
Nina swali mkuu,
1. Ule uwanja ulikuwa vizuri kweli au ulinyanyuliwa upande mmoja???
2. Kwanini Morata hamumuanzishi? why leo kaanzia benchi
Wale wambeambea waje sasa
Kuna swali
Ww umefuata nn kama jukwaa la chelseaMkuu hili jukwaa la Chelsea......
Mlianza kushinda match kama kawaida yenu tatu au nne kama sijakosea
Hiv ww umeanglia mechi au morata alikua bench la timu gan? Jbu swalNina swali mkuu,
1. Ule uwanja ulikuwa vizuri kweli au ulinyanyuliwa upande mmoja???
2. Kwanini Morata hamumuanzishi? why leo kaanzia benchi
Man u atachukua ubingwa au sio
Nimekuja kushangilia spurs akicheza na chelseaWw umefuata nn kama jukwaa la chelsea
Mlianza kushinda match kama kawaida yenu tatu au nne kama sijakosea
Hiv ww umeanglia mechi au morata alikua bench la timu gan? Jbu swal
Na Chelsea ilitoa Droo 2 si ndioHapa Umekengeuka Lig Iliyoisha Manchester Alitoa Droo 12 Na Hizi Timu Anazozipiga 4 sasa ina maana bila suluhu alikuwa above chelsea
Ile inaitwa TACTICAL MASTERCLASS! from MasterTactical Antonio Conte, ukiangalia kikosi kizima kilikua kina beki wangapi, defensive mid. wangap utaelewa, wasiojua mpira ndio watauliza hilo swali!! .......... najua baada ya hii comment yangu utajiona bonge la ........Nina swali mkuu,
1. Ule uwanja ulikuwa vizuri kweli au ulinyanyuliwa upande mmoja???
2. Kwanini Morata hamumuanzishi? why leo kaanzia benchi
Hatujalala mkuu, nimesema nina majukumu kidogo hata Mechi siangalii
Hapa Umekengeuka Lig Iliyoisha Manchester Alitoa Droo 12 Na Hizi Timu Anazozipiga 4 sasa ina maana bila suluhu alikuwa above chelsea
Sie kona za kazi gani...?Spurs Wana Kona Kumi Na Mbili Yani Kila Mchezaj Wa Spurs Kapiga Kona Moja Sisi Chelsea Mbili Tu