eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
[emoji3] [emoji3] imebaki aibu tuCome on Tottenham.....!
[emoji3] [emoji3] imebaki aibu tuCome on Tottenham.....!
😱😱😱😱
Mkuu hili jukwaa la Chelsea......Nataka niamini ikifika december man u watakuwa wanamtukana mourinho na wachezaji wake
Hii ni nguvu ya soda tu kama msimu uliopita
Wamepoteana mamuluki[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mamlukii leo wametuliaaa ...sjawaona uku kabisaa[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu afadhali tumeshinda bhanaYani Kama Vile Spurs Anacheza Na Hull City Au Sunderland Kumbe Chelsea Chama Kubwa.
Mkuu mpaka sasa weekend inaendaje.? Bia zinashuka au zinapanda .? [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Safi sana Spurs, bado moja la ushindi weekend iishe vizuri
Hahaaa.. Yan kama huamini amini vileAisee 2-1...
Bhwa bhwa bhwaaaaa... Pole blaza. Pambana na hali yako tuVictor Wanyama kaharibu weekend!
Aya ahsanteHaya hongereni
Hatujalala mkuu, nimesema nina majukumu kidogo hata Mechi siangaliiMkuu Nakupongeza Wewe Mshabik Halali Wa Chelsea Hujakimbia Jukwaa Wakina Kunguru Wamelala Mbele
Ahsante Ngariba.Hongereni The Blues [emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Asante Mkuu, japo haikuwa rahisiHongereni The Blues [emoji1547][emoji1547][emoji1547]
Mkuu katoka Injury uctegemee atakua on form 100%. Give him timeHongereni mmeshinda ila Bakayoko hamna kitu afadhali ya Matic[emoji119]
Ha ha ha ha ha ha ha Mkuu, ulimuandama Morata naona umeanza kwa Bakayoko. Siwezi sema chochote mkuu, maana sijashuhudia kituHongereni mmeshinda ila Bakayoko hamna kitu afadhali ya Matic[emoji119]
Nataka niamini ikifika december man u watakuwa wanamtukana mourinho na wachezaji wake
Hii ni nguvu ya soda tu kama msimu uliopita
Toka kwenye injury to big game unatarajia afanye vizuriHongereni mmeshinda ila Bakayoko hamna kitu afadhali ya Matic[emoji119]
Kumbe ulkua unajuaChelsea have never lost first two opening EPL games....
Huyo asoimkubali Alonso kaanza kushabikia Chelsea msimu huu. Toka msimu uliopita jamaa alikua motoTot walikichafua lakini mwisho wa siku Chelsea kaibuka na point 3 hongereni wakuu
Ingawa najua wapenzi wengi wa chelsea hawamkubali Alonso ila siku zinavyozidi kwenda nadhan mtazamo unabadilika
Mlianza kushinda match kama kawaida yenu tatu au nne kama sijakoseaHapa Umekengeuka Lig Iliyoisha Manchester Alitoa Droo 12 Na Hizi Timu Anazozipiga 4 sasa ina maana bila suluhu alikuwa above chelsea