Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

gobole la kuulia tembo Burnley walilitumia kuua nyani

damu tu ndio zilizooneka
 
Hata msimu ulioisha mlisema atakuwa wa kwanza kutimuliwa baada ya vipigo vya liverpool na arsenal
So endeleeni na utabiri wa conte kufukuzwa

Chelsea without Edwin Hazard, and proper fullbacks ni average team. Ngoja tuone kama Morata ni kama Diego Costa.
 
next match unafungwa na nani?????? maana ndo wanavouliziwa asenali wakiwa wanacheza.
ALVARO MORATA-30mins 1 goal+1 assist.
hili ni jukwaa la Chelsea na jana mmekufa

hahhaahaaahhaa

ramsey juzi kashinda chelsea jana mmekufa
 
gobole la kuulia tembo Burnley walilitumia kuua nyani

damu tu ndio zilizooneka


kiongozi hivi uropa umepangiwa kundi gani??????
maana december pumzi ikikata uwe unajiliwaza na uropa kwa kuzionea team za ndondo kama zorya fc.
 
Chelsea without Edwin Hazard, and proper fullbacks ni average team. Ngoja tuone kama Morata ni kama Diego Costa.


ALVARO MORATA-30mins 1 goal+1 assits.
unataka uone nini tena zaidi ya hapo?????
wewe team gani kiongozi???? na striker wako kafunga goal ngapi??? tuamzie hapo kwanza.
 
kiongozi hivi uropa umepangiwa kundi gani??????
maana december pumzi ikikata uwe unajiliwaza na uropa kwa kuzionea team za ndondo kama zorya fc.
kwani hili jukwaa la timu gani ??

Arsenal tumepiga mbwa juzi
kwasasa tuongelee chelsea kama hutaki sema
 
hili ni jukwaa la Chelsea na jana mmekufa

hahhaahaaahhaa

ramsey juzi kashinda chelsea jana mmekufa


ramsey huyu huyu asiyekuwa na ''pace''??????
una mchezaji kama ramsey then unategemea kuchukua epl??????? go to doctor.
 
kwani hili jukwaa la timu gani ??

Arsenal tumepiga mbwa juzi
kwasasa tuongelee chelsea kama hutaki sema


usiseme chelsea, sema ''defending champions"
sisi ni defending champions so ukianza kutuongelea weka heshima mbele.
wewe una umri wa mtu anayekarbia kubalehe hujashika hilo kombe.
 
ALVARO MORATA-30mins 1 goal+1 assits.
unataka uone nini tena zaidi ya hapo?????
wewe team gani kiongozi???? na striker wako kafunga goal ngapi??? tuamzie hapo kwanza.

Amefanya vizuri na record yake ni nzuri. It not all about scoring goals but also how your lead the line and bring others into play, hold up the ball and chasing lost causes. He is very good player, lakini let judge him at the end of the season
 
Amefanya vizuri na record yake ni nzuri. It not all about scoring goals but also how your lead the line and bring others into play, hold up the ball and chasing lost causes. He is very good player, lakini let judge him at the end of the season


facts. that's we need.
 
usiseme chelsea, sema ''defending champions"
sisi ni defending champions so ukianza kutuongelea weka heshima mbele.
wewe una umri wa mtu anayekarbia kubalehe hujashika hilo kombe.
twende mbele kisha turudi nyuma jana watoto wamekuaibisha bingwa
hawana huruma kama mangariba
 
twende mbele kisha turudi nyuma jana watoto wamekuaibisha bingwa
hawana huruma kama mangariba


mkuu nilikuwa pungufu kwa 2players, na nka comeback for 2goas. hadi hapo hujaona ukomavu kweli??????
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom