Smart boy Shewedy
JF-Expert Member
- Jan 17, 2017
- 3,725
- 3,516
Patakuwa moto Ile mbaya.....Kabisa, Hazard akirudi na Pedro pale mbele patakuwa vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Patakuwa moto Ile mbaya.....Kabisa, Hazard akirudi na Pedro pale mbele patakuwa vizuri sana
But unasahau Chelsea imefungwa Stamford Bridge na Burnley timu iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita-Mechi 3 zijazo zitakuwa ngumu sana kwetu, itabidi tukaze mkanda
-Morata anatakiwa aanze, conte shall swallow his own pride wamalizane na costa wasaidiane kurudisha heshima ya chelsea
-Pedro, moses na hazard ndiyo roho ya chelsea na hilo limedhihirika leo
-Refa alijitahidi kuumudu mchezo ila bado alikuwa anateleza, kuna baadhi ya maamuzi kawa mwepesi sana kuyaamua
-Chelsea bado ni timu bora, from 0-3 to 2-3 with 2 men down, meen give us a break...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera yako mkuuMimi ni shabiki wa Manchester united ila nimevutiwa kwa kiasi kikubwa na aina ya uchezaji wa Chelsea
Sent From My Nokia Ya Tochi
Msimu mpya mkuu wote tunaanzia zeroBut unasahau Chelsea imefungwa Stamford Bridge na Burnley timu iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita
Mmefungwa kwa taabu snaaaa yaani kwa tabu sanaaaaaaMsimu mpya mkuu wote tunaanzia zero
Msimu mpya mkuu wote tunaanzia zero
Morata with a goal and assist so where are the haters who said that he would be flop ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sina tatizo na kadi zilizotolewa ila refa kafanya haraka sana kutoa nyekundu kwa sababu hakuna alietoka kwa kuumia kwa upande wa burnley
But unasahau Chelsea imefungwa Stamford Bridge na Burnley timu iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita
Mourinho kamnunua refa leoMmefungwa kwa taabu snaaaa yaani kwa tabu sanaaaaaa




. Hivyo hivyo tutapambana na khali yetu.Najuuliza anacheza nani wakati Fabregas ana nyekundu na hatuna kiungo mwingine
Endelea kuwaza vibonde ..mpira unabadilika mkuu ..ngoja utakutananayo.Chelsea walikuwa wanacheza na vibonde Burnley sio United,City au Spurs na game ilikuwa Stamford Bridge,kama wasiposajili at least wachezaji 3 hata top 4 msahau
Mbn FA wameblock some videos zenye review ya game ya chelsea na burnley....,,
Sent using Jamii Forums mobile app