Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji gani ambao wame-underperform? Chelsea imekamilika upande wa mabeki kuliko timu yoyote ya EPL. Tunahitaji tu mtu wa kushika namba ya Bakayoko ambaye bado hajawa fiti kwa ajili ya mechi. Na wing back zinahitaji mtu mmoja wa kuleta ushindani au akisajiliwa beki(say van Dijk) basi Luiz anaweza kucheza kama defensive midfielder au Azpilicueta akacheza kama Wing Back. Mbele pale Morata anatosha sana. Na Hazard na Pedro wakirudi basi ndo sipati picha hii timu itakuwaje. Shida itabaki kwa kocha maana atachanganyikiwa kupanga kikosi chache. Maana sasa nani atakaa benchi? Willian? Fabregas? au nani? Hapo kumbuka vijana Boga, Musonda, na Christen bado wako benchi pamoja na Batshuay.

Kijana kitambue vizuri kikosi cha Chelsea ndo uje kukizungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app
Willian , fab mbona ni washika makoti nje pale Chelsea toka msimu uliopita akuna chakumuumiza kichwa conte usitake kuipamba sana team yenu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
06ae1c146056014ae8e683486953c1fc.jpg



huyu shafi dauda anashabikia manU maana huwa anaipamba wakati team yenyewe mbovu.
time is agood teacher.
 
huyu shafi dauda anashabikia manU maana huwa anaipamba wakati team yenyewe mbovu.
time is agood teacher.

Mpira Ni Utani Na Furaha Huufanya Kuwa Bora Ki Ukweli Arsenal,manchester City Na Liverpool Wanacheza Mpira Mzuri Wa Mipango
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom