Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

mbona hujamtaja na morata????? ALVARO MORATA-30mins played 1 goal+ 1 assist WORLD CLASS STRIKER.
Nyuma kuna rudiger na dogo andreas christ. tottenham kwetu ni wasichana.

Naona mnajifariji kwenyw goli la Morata
 
asingefunga ungeongelea points????? anyway point ni uzembe wa mabeki umetu cost hasa cahili beki mzembe.
morata naye kashinda kwa uzembe wa timu bunley

hahahhahaha
kikundi cha wahuni na maboga
 
Burnley jana wamekutana na nguruwe shambani wamemvunja miguu
 
morata naye kashinda kwa uzembe wa timu bunley

hahahhahaha
kikundi cha wahuni na maboga


Ila lacazette alipofunga beki wa leicester walikuwa makini au sio??????
mabeki wanakuwa wazembe akifunga morata tu.
AVARO MORATA-30mins played 1goal+1assits WORLD CLASS STRIKER.
kuna mwenye tatizo na morata au uwezo wake huko???????
 
Ila lacazette alipofunga beki wa leicester walikuwa makini au sio??????
mabeki wanakuwa wazembe akifunga morata tu.
AVARO MORATA-30mins played 1goal+1assits WORLD CLASS STRIKER.
kuna mwenye tatizo na morata au uwezo wake huko???????
ile ya lacazette halikua goli la kawaida kama penati

hivi kande yupo wapi ??
 
hichi ndio nashangaa hawa maboga


mkuu sisi sio wageni na epl, asenali anaongozaga league 1st round but 2nd round wewe mwenyewe unajua kinachompata.
team yako ikifika december teyari ishaanza ugulia wakati wenzio ndo gari limewasha moto.
 
DECEMBER sio mbali muanze kubeba mabango yenu ya ''wenger out''.
enough is enough wenger out. wakati sisi tumewasha motto uitwao ''blaze inferno''
jana Burnley wamepiga mwizi na mwizi hapigwi kwa ndala anapigwa kwa mawe nyundo
 
Lukaku mzito kama kiloba cha mchanga bakini nae ninyi, hatujawahi kumpenda huyo mtu.
ALVARO MORATA-30 minutes played 1 goal+1 assist. WORLD CLASS STRIKER.
Ni chelsea pekee ambapo world class striker ananzia benchi
 
jana Burnley wamepiga mwizi na mwizi hapigwi kwa ndala anapigwa kwa mawe nyundo


december sio mbali, hutokua unakuja tena hapa wakati nkiwa nakucheeeeka na team yako inayokata pumzi 1st round.
december utakua busy na wenger out.
 
december sio mbali, hutokua unakuja tena hapa wakati nkiwa nakucheeeeka na team yako inayokata pumzi 1st round.
december utakua busy na wenger out.
Burnley wamepiga mbwa
 
Ni chelsea pekee ambapo world class striker ananzia benchi


kaanzia bench mechi ngapi kiongozi????
mkuu hivi morata manU mlimuandalia jezi namba ngapi???????
ALVARO MORATA-30mins 1goal+1assist.
 
Conte hatamaliza msimu, atafuata nyayo za jose. Kumtimua Costa wakati bosi wake bado akimpenda na pia kupata matokeo mabaya. Asipofanya vizuri mechi mbili zijazo ndipo atajua rangi zote za Abramovich

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata msimu ulioisha mlisema atakuwa wa kwanza kutimuliwa baada ya vipigo vya liverpool na arsenal
So endeleeni na utabiri wa conte kufukuzwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom