Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji gani ambao wame-underperform? Chelsea imekamilika upande wa mabeki kuliko timu yoyote ya EPL. Tunahitaji tu mtu wa kushika namba ya Bakayoko ambaye bado hajawa fiti kwa ajili ya mechi. Na wing back zinahitaji mtu mmoja wa kuleta ushindani au akisajiliwa beki(say van Dijk) basi Luiz anaweza kucheza kama defensive midfielder au Azpilicueta akacheza kama Wing Back. Mbele pale Morata anatosha sana. Na Hazard na Pedro wakirudi basi ndo sipati picha hii timu itakuwaje. Shida itabaki kwa kocha maana atachanganyikiwa kupanga kikosi chache. Maana sasa nani atakaa benchi? Willian? Fabregas? au nani? Hapo kumbuka vijana Boga, Musonda, na Christen bado wako benchi pamoja na Batshuay.

Kijana kitambue vizuri kikosi cha Chelsea ndo uje kukizungumzia

Sent using Jamii Forums mobile app

Next game Totenham, ngoja tuone hiko kikosi ulichotaja kama kitatoka na point pale Wembley.
 
Msimu mpya mkuu wote tunaanzia zero
Msimu upya matatizo ya Chelsea ni yaleyale mna kikosi kidogo sana wakiumia/suspension kwa 2/3 key players timu inakufa kabisa

Mwenzio anasema timu ya Chelsea ni nzuri kwakuwa walikuwa wamefungwa 3-0 wakarudisha goli 2

Bila kusajili at least wachezaji 3 wazuri Conte anaweza akafukuzwa kazi mapema.Last season mlipata advantage kutocheza michuano ya ulaya
 
2035b6a5f9d6a90dcf1d189a03bc4d58.jpg

Kwi kwi uwiiiiiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Finally Morata has scored and 1 Asist, even If we have lost the Game he have shut-up those who are Saying Negative About him. He is really a great player" u better be careful he is Coming With Full Force.....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
great player baada yakuja Chelsea?? au toka akiwa mpigaji story ktk mabench Madrid

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom