Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Umeongea vizuri sana ila sikubaliani na wewe kwamba Morata hatufikia kiwango cha Costa

Sent using Jamii Forums mobile app

kwani costa ana kiwango gani cha kumzidi morata?????? morata ana dribble nzuri while costa hawezi hata dribble,
morata anapunguza na kupiga chenga wakati costa hawezi.
morata ana vitu vingi ambavo costa na lukaku hawana.
 
Mkuu kazi ya striker ni kufunga magoli. Hakuna timu inaweza kumvumilia striker asiyeweza kufunga magoli. Mm nashauri katika ushabiki wa mpira tutumie na akili siyo kutumia hisia tu

Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu morata ana 20 goals laliga last season na most of them katokea bench, sasa wewe unataka afungaje?????
mkuu au na wewe unaendeshwa na media?????
lini morata kacheza full match chelsea hajafanya impact?????? jibu ni bado so BE CALM.
KTBFFH.
 
kwani costa ana kiwango gani cha kumzidi morata?????? morata ana dribble nzuri while costa hawezi hata dribble,
morata anapunguza na kupiga chenga wakati costa hawezi.
morata ana vitu vingi ambavo costa na lukaku hawana.
Lukaku anawapagawisha sana?
 
Utakuwa na kichaa wewe, hakuna team duniani isiyotaka Huduma ya diego Costa... Ac Milan na wachina wao waliweka hela mezani Diego akachomoa. Costa mwenyewe ameshaweka bayana team pekee anayoitaka ni Atletico Madrid na si team nyingine yoyote .


Hivi kwa uelewa wako kuna team inaweza kumkataa Mchezaji Mwenye hizo statistics kwenye picha niliyoambatanisha ????

Ana misimu mitatu Chelsea , amekusaidia kubeba Ndoo mbili za EPL huku yeye ndio akiwa top scorer wako kipindi chote hicho Leo unasema ni mchezaji mbovu.


Kapimwe akili Ndugu yangu.... Huyo Morata kubali kataa hataweza kufikia hata robo ya Diego Costa.

Sent From My Nokia Ya Tochi
we ndio hamnazo! hivi kwa akili yako timamu na kama kweli unawaza kw kutumia kichwa, Costa baada y kuonyeshewa milango y kutokea tena kwa sms,akatae dili la pesa ndefu la kwenda kukipga china??! aendelee kukaa tu na kocha ambae hamtaki, .........

Kuhusu kutusaidia kubeba ubingwa kwani alikua anacheza peke yake, kuna watu ukisema bila wao tusingepata ubingwa ningekuela, kuna Kante,Hazard,Azpiculeta n.k........ ungekua unaangalia mechi zote za chelsea wala usingeweka huu upuuzi hapa, Costa anazingua sana!" anapoteza sana mipira hovyo. Halafu hajui kuhold mipira, anapoozesha muvu za kaunta. Kiufupi anazingua ..........

Top scorer ulitaka awe Courtois?! ......Ndio kazi yake lazima awe top scorer.
 
mkuu morata ana 20 goals laliga last season na most of them katokea bench, sasa wewe unataka afungaje?????
mkuu au na wewe unaendeshwa na media?????
lini morata kacheza full match chelsea hajafanya impact?????? jibu ni bado so BE CALM.
KTBFFH.
Mkuu nimesema hivyo kwa sababu kila mtu ana style yake ya uchezaji.
Pili ligi za ulaya zinatofautiana.
Nakubali kuwa kiujuzi Morata yuko vizuri na huu ni mwanzo hatuwezi kumjudge mapema hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu morata ana 20 goals laliga last season na most of them katokea bench, sasa wewe unataka afungaje?????
mkuu au na wewe unaendeshwa na media?????
lini morata kacheza full match chelsea hajafanya impact?????? jibu ni bado so BE CALM.
KTBFFH.
Ipo siku hawa wanaopiga kelele watanyamazishwa tu. Either in this season or next season. Leo wameanza kumponda Morato kisa Madrid wamekataa kuwauzia. Wivu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1a9e66e1664724cfba2d129c8f8e0ef6.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom