Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,895
- 22,093
Hamorata
Sent From My Nokia Ya Tochi
Sent From My Nokia Ya Tochi
una mawazo kama yangu yaani huyo costa anayepigiwa kelele kila siku humu kila timu haimtaki kumchukua sijui uzuri wake ni upiMbona unapoteza muda mkuu kuwajb, huyo morata mwenyew hat kucheza bado hajacheza, penalt anakosa Mess!!!. Msimu unaanza wenyewe watapoteana humu .........huyo Costa kama mzuri sana mbn mpaka sahiv hajanunuliwa
Usipoteze muda wako mkuu.
Utakuwa na kichaa wewe, hakuna team duniani isiyotaka Huduma ya diego Costa... Ac Milan na wachina wao waliweka hela mezani Diego akachomoa. Costa mwenyewe ameshaweka bayana team pekee anayoitaka ni Atletico Madrid na si team nyingine yoyote .una mawazo kama yangu yaani huyo costa anayepigiwa kelele kila siku humu kila timu haimtaki kumchukua sijui uzuri wake ni upi
Costa mpambananji wewe uyu Morata mtoto wa mama hawezi mikiki ya EPL kosa kubwa sana kuwaacha Costa na kuruhusu Matic aende Man u hapo tutafute top 4 tu
Hahahaha yamekuwa hayo tena
Sent From My Nokia Ya Tochi
Timu hazimfuatilii sababu yeye ameshaweka wazi anataka kurudi Atletico.mbona huyo costa wenu tokea chelsea tutangaze kumwacha hakuna team zinazomhitaji kama mzuri?????
i stand for morata hata kama asipofunga goli msimu mzima. creative and talented striker[morata].
Mbona unapoteza muda mkuu kuwajb, huyo morata mwenyew hat kucheza bado hajacheza, penalt anakosa Mess!!!. Msimu unaanza wenyewe watapoteana humu .........huyo Costa kama mzuri sana mbn mpaka sahiv hajanunuliwa
Usipoteze muda wako mkuu.
Uzi wa mabingwa huu so lazima washoboke kidogo
Timu hazimfuatilii sababu yeye ameshaweka wazi anataka kurudi Atletico.
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona huyo costa wenu tokea chelsea tutangaze kumwacha hakuna team zinazomhitaji kama mzuri?????
i stand for morata hata kama asipofunga goli msimu mzima. creative and talented striker[morata].
kutotakiwa sio sababu ya uwezo kuna vitu vingi kama mshahara pesa ya uhamisho n.k sasa asipofunga msimu mzima uyo sio mchezaji bali atakuwa anakula pension
mkuu sisi costa hatumtaki na tumemwambia afunge mabegi yake aje huko atakako, na huko wanakomhitaji ila nashangaaa hadi saizi hauziki.
wakati morata alikua dhahabu sokoni kila mtu anamtaka[manU, chelsea, ac milan, juventus, asenali, spurz]
morata movement zake za mpira zina impress kuwa the man is world class striker.
pale tumeingia chaka uyu atakuwa kama Torres
pale tumeingia chaka uyu atakuwa kama Torres
Mbona Ozil anaiweza?Costa mpambananji wewe uyu Morata mtoto wa mama hawezi mikiki ya EPL kosa kubwa sana kuwaacha Costa na kuruhusu Matic aende Man u hapo tutafute top 4 tu
Pamoja na kwamba Costa ana mapungufu yake hasa ya kinidhamu lakini viatu vya ustraika vilimtosha vizuri. Morata atakuja kuwa vizuri hapo baadae kidogo. Na sababu ya Costa kutonunuliwa ni kwa sababu ya utovu wa nidhamuMbona unapoteza muda mkuu kuwajb, huyo morata mwenyew hat kucheza bado hajacheza, penalt anakosa Mess!!!. Msimu unaanza wenyewe watapoteana humu .........huyo Costa kama mzuri sana mbn mpaka sahiv hajanunuliwa
Usipoteze muda wako mkuu.
Umeongea vizuri sana ila sikubaliani na wewe kwamba Morata hatufikia kiwango cha CostaUtakuwa na kichaa wewe, hakuna team duniani isiyotaka Huduma ya diego Costa... Ac Milan na wachina wao waliweka hela mezani Diego akachomoa. Costa mwenyewe ameshaweka bayana team pekee anayoitaka ni Atletico Madrid na si team nyingine yoyote .
Hivi kwa uelewa wako kuna team inaweza kumkataa Mchezaji Mwenye hizo statistics kwenye picha niliyoambatanisha ????
Ana misimu mitatu Chelsea , amekusaidia kubeba Ndoo mbili za EPL huku yeye ndio akiwa top scorer wako kipindi chote hicho Leo unasema ni mchezaji mbovu.
Kapimwe akili Ndugu yangu.... Huyo Morata kubali kataa hataweza kufikia hata robo ya Diego Costa.
Sent From My Nokia Ya Tochi
Mkuu kazi ya striker ni kufunga magoli. Hakuna timu inaweza kumvumilia striker asiyeweza kufunga magoli. Mm nashauri katika ushabiki wa mpira tutumie na akili siyo kutumia hisia tumbona huyo costa wenu tokea chelsea tutangaze kumwacha hakuna team zinazomhitaji kama mzuri?????
i stand for morata hata kama asipofunga goli msimu mzima. creative and talented striker[morata].