Heavy Weight
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 888
- 885
Karibu morata darajani now am happy
Heavy Weight
Heavy Weight



chelsea huu mwaka haina kurembaTunahitaji 2 wing backs wa kulia na kushoto, kuhusu back sio mbaya maana waliotolewa kwa mkopo wamerudi hasa christenMabeki tunao wengi sana alikuwa hana umuhimu
Rudiger
Aspilicueta
Luiz
Na wengine kibao
Tusiwaangalie wwnze2 tuangalie cc
AF pia kumbuka lukaku ni second top scorer wa PL uyu we2 vp wakuu
Sent using Jamii Forums mobile app
nawe pia mkuu tumeangaika sana kutafuta strike hatimaye tumepataUsiku mwema chelsea fans wote
Siyo kweli mkuu,Chaguo la kwanza la chelsea lilikua agueroo