eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Na je, unaamini kwamba kuuzwa kwa Matic haukuwa uamuzi sahihi? Matic aliuzwa kwa Benfica bila sababu ya msingi na safari hii ameuzwa kwa Man U wakati machango wake ukihitajika sana. Mimi katika maamuzi ya kipumbavu yaliyofanywa na Chelsea ni kuwauza wachezaji wazuri kama Matic, Van Ginkel, Kevin De Bruyne, Mata, Lukaku, na Salah. Hivi sisi Chelsea ni nani aliyeturoga?Mi ni shabiki wa chelsea ambae naamini morata atafunga mabao zaidi ya costa
Muda utaongea tu na tutakumbushana
Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza. We can only postulate ila facts wanazijua wahusika.Na je, unaamini kwamba kuuzwa kwa Matic haukuwa uamuzi sahihi? Matic aliuzwa kwa Benfica bila sababu ya msingi na safari hii ameuzwa kwa Man U wakati machango wake ukihitajika sana. Mimi katika maamuzi ya kipumbavu yaliyofanywa na Chelsea ni kuwauza wachezaji wazuri kama Matic, Van Ginkel, Kevin De Bruyne, Mata, Lukaku, na Salah. Hivi sisi Chelsea ni nani aliyeturoga?
Huyu naye bhana sometimes simuelewagi...kwanini sasa alimuuza JEMBE Matic? Kaniudhi sana.
Van Ginkel kauzwa lini mkuu?Na je, unaamini kwamba kuuzwa kwa Matic haukuwa uamuzi sahihi? Matic aliuzwa kwa Benfica bila sababu ya msingi na safari hii ameuzwa kwa Man U wakati machango wake ukihitajika sana. Mimi katika maamuzi ya kipumbavu yaliyofanywa na Chelsea ni kuwauza wachezaji wazuri kama Matic, Van Ginkel, Kevin De Bruyne, Mata, Lukaku, na Salah. Hivi sisi Chelsea ni nani aliyeturoga?
Sio kuuzwa kwenda Man Y au W....Jembe Matic hakupaswa kuuzwa kwenda timu yoyote.conte alisema alipinga matic kuuziwa man u, sema watu walio-above the food chain hawakumsikiliza
Nadhani atakuwa kauzwa maana akili za Conte anazijua mwenyewe.
Mkuu naomba link ya kuangalia mpira online.Kesho Tunaanza Na Wenger
Mkuu Mi Huwa Natumia MobdroMkuu naomba link ya kuangalia mpira online.
Kama una bando la kutosha.. vumilia usifatilie tokeo mpaka half time iishe.. then ingia reddit.. au sechi google.. "reddit football highlights" then utakuta wamekuuploadia kipindi cha kwanza.. meanwhile kipindi cha pili as soon as mechi ikiisha..Mkuu naomba link ya kuangalia mpira online.
Pamoja sana mkuu.Kama una bando la kutosha.. vumilia usifatilie tokeo mpaka half time iishe.. then ingia reddit.. au sechi google.. "reddit football highlights" then utakuta wamekuuploadia kipindi cha kwanza.. meanwhile kipindi cha pili as soon as mechi ikiisha..
Kustream kama una speed nzuri..ingia soccerstream ya reddit. Search "reddit soccer stream " utapata link kibao kwene hiyo website yao