Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

b45c38bd5bf57bd73b6abf7c786b957f.jpg
 
Huyu yuko fiti

Pale mbele pakikaa hivi itakuwa powa

Wilian, morata, boga

Au wilian, batshuay, boga

Au Pedro, batshuay, boga
Au Petro, morata, boga

Huyu boga alinivutia sana kwenye pree season
Yuko vizuri ila usitegemee ataanza first 11 ktk mechi zenye ushindani Vilevile usishangae kabla dirisha kufungwa akatolewa kwa mkopo.
 
Huyu yuko fiti

Pale mbele pakikaa hivi itakuwa powa

Wilian, morata, boga

Au wilian, batshuay, boga

Au Pedro, batshuay, boga
Au Petro, morata, boga

Huyu boga alinivutia sana kwenye pree season
Possibility ya Boga kuanza ni ndogo mno...

Kumbuka na Batshuayi yupo nje bado...

Sanasana anaweza

- kucheza na strikers wawili (Batshuayi na Morata) huku mmoja kati ya Willian au Pedro acheze.

- kutumia wachezaji aliowazoea kuanza..Willian na Pedro kisha Batshuayi striker (au Morata Striker)

Chances za kumuweka Batshuayi nje kwa game hii ni ndogo. Na akianzia benchi basi jua Willian na Pedro wote wamo ndani.

Hao madogo wasubirie games za FA na subs ndo watazifaidi. Uzuri tuna game nyingi za kucheza so naamini watapata nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Possibility ya Boga kuanza ni ndogo mno...

Kumbuka na Batshuayi yupo nje bado...

Sanasana anaweza

- kucheza na strikers wawili (Batshuayi na Morata) huku mmoja kati ya Willian au Pedro acheze.

- kutumia wachezaji aliowazoea kuanza..Willian na Pedro kisha Batshuayi striker (au Morata Striker)

Chances za kumuweka Batshuayi nje kwa game hii ni ndogo. Na akianzia benchi basi jua Willian na Pedro wote wamo ndani.

Hao madogo wasubirie games za FA na subs ndo watazifaidi. Uzuri tuna game nyingi za kucheza so naamini watapata nafasi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa ila awe anampa nafasi hata kipindi cha pili
 
CONTE yupo smart sana kwenye ''press'' anavojibu, nafurahi anavowajibu kila aulizwapo maswali kama ya costa+matic.
hadi saizi wamechoka kumuuliza hayo maswali wanajua hawatapata majibu wanayotegemea wakauze kwenye magazeti na blogg zao.
conte technician/tactition.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom