Katika vitu ambavyo Chelsea imepoteza in kumnunua morata,bora wange mchukua James wa Madrid kwa mkopo,morata hana ari ya kucheza,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
pre season sio kipimo cha ubora wa striker au mchezajiMacho yangu leo mi ni kwa morata tu nasisitiza tena kwenye hizi preseason hatofunga hata goli moja.![]()
Lukaku alikuwepo EPL na yupo epl, so ni rahisi kumuongelea mapema, maana ni muendelezo tu wa ligi hiyo hiyo Timu tofauti. Morata katoka ligi nyingine kabisa, he is new for the team and atmosphere. We vp?Mi nawashangaa sana kwan mlivyokuwa mnamuongelea lukaku hamkulijua hilo au morata wenu alivyoanza kuvurunda ndo mmeyakumbuka hayo..????
Hahahaila tukimpata alex sandro uefa ya kwetu
Mkuu si wanajua mtu yoyote akinyatiwa na morinho ni dili kwa hiyo wakaingia mkenge bila kujua kwamba morinho alikuwa anajua jinsi ya kumtumia morata ndo maana alikuwa anamfatilia afu hawa wanachukua chukua tu bila kujiuliza watamtumiaje baadaye ndo haya yanawatokea..??Katika vitu ambavyo Chelsea imepoteza in kumnunua morata,bora wange mchukua James wa Madrid kwa mkopo,morata hana ari ya kucheza,
Sent using Jamii Forums mobile app

Fresh tu kwa hiyo mlivyokuwa mnapiga makelele kwamba mnafurahia kuja kwa morata mlikuwa mnamaanisha nn..?? sema tu roho inawauma kwa ndani mnajitahidi kuvumilia ila wapi.Lukaku alikuwepo EPL na yupo epl, so ni rahisi kumuongelea mapema, maana ni muendelezo tu wa ligi hiyo hiyo Timu tofauti. Morata katoka ligi nyingine kabisa, he is new for the team and atmosphere. We vp?
ligi ikianza sina shaka utapotea kwenye jukwaa hili kama ndege ya malaysiaFresh tu kwa hiyo mlivyokuwa mnapiga makelele kwamba mnafurahia kuja kwa morata mlikuwa mnamaanisha nn..?? sema tu roho inawauma kwa ndani mnajitahidi kuvumilia ila wapi.
unataka unambie conte hamjui morata?Mkuu si wanajua mtu yoyote akinyatiwa na morinho ni dili kwa hiyo wakaingia mkenge bila kujua kwamba morinho alikuwa anajua jinsi ya kumtumia morata ndo maana alikuwa anamfatilia afu hawa wanachukua chukua tu bila kujiuliza watamtumiaje baadaye ndo haya yanawatokea..??![]()
![]()
![]()
![]()
Kila mtu anamjua namaanisha jinsi ya kumchezesha alivyokuwa anamnunua hakujua nafasi atacheza ipi na kwann anahangaika kutafuta acheze nafasi gani..???unataka unambie conte hamjui morata?
Fresh tu kwa hiyo mlivyokuwa mnapiga makelele kwamba mnafurahia kuja kwa morata mlikuwa mnamaanisha nn..?? sema tu roho inawauma kwa ndani mnajitahidi kuvumilia ila wapi.
Mkuu hata mimi huyu Morata hajaingia akilini mwangu kabisa. Kinachouma zaidi ni kuuzwa MATIC kwa Man U. Hawa Chelsea wanalipoteza kombe wenyewe. Matic alisaidia sana kunyakua kombe msimu uliopita. Ni bora wangembakisha Costa kuliko kupoteza mihela yote ile kumnunua Morata. Madrid wamelamba hela za bwerere.Mkuu si wanajua mtu yoyote akinyatiwa na morinho ni dili kwa hiyo wakaingia mkenge bila kujua kwamba morinho alikuwa anajua jinsi ya kumtumia morata ndo maana alikuwa anamfatilia afu hawa wanachukua chukua tu bila kujiuliza watamtumiaje baadaye ndo haya yanawatokea..??![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu nakuunga mkono....bado hatujapata real striker. Ni bora tungebaki na 'chizi' Costa kuliko kupoteza fedha kumnunua Morata....ni lani mno na ujinga wake wa ku-dribble mpira ovyo ovyo hautofautiani na wa Costa...ijapokuwa Costa yupo makini sana ndani ya 18.Chelsea haiko vizuri hata kama ni mechi za pre season. pamoja na utovu wa nidhamu, pengo la costa linaonekana wazi. Morata bado mimi naamini atacope na wenzake. Mechi ya Inter na Chelsea togauti kubwa ilikuwa uwezo mdogo wa washambuliaji wa chelsea vs ubora wa washambuliaji ea inter
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, upo sahihi na ume hit the target.
kwa kuongezea fabregas hawezi kukaba na kante nae hawezi piga pass za mwisho. so hapo matic anahitajika sana no matter what. kingine ni kumpata alex sandro na rudiger/christean wachukue nafasi ya cahili hata kama ni captain ila hana pace.





amesema anaangaika au unamlisha maneno?Kila mtu anamjua namaanisha jinsi ya kumchezesha alivyokuwa anamnunua hakujua nafasi atacheza ipi na kwann anahangaika kutafuta acheze nafasi gani..???
Mi ni shabiki wa chelsea ambae naamini morata atafunga mabao zaidi ya costaMkuu nakuunga mkono....bado hatujapata real striker. Ni bora tungebaki na 'chizi' Costa kuliko kupoteza fedha kumnunua Morata....ni lani mno na ujinga wake wa ku-dribble mpira ovyo ovyo hautofautiani na wa Costa...ijapokuwa Costa yupo makini sana ndani ya 18.
Mi ni shabiki wa chelsea ambae naamini morata atafunga mabao zaidi ya costa
Muda utaongea tu na tutakumbushana