privacy
JF-Expert Member
- Apr 20, 2014
- 1,446
- 1,282
Mkuu hayo mengi labda moja huyu bench warmer atafikishaje hayo magoli mbona unampa masifa yasiyostahili kwa sasa hata goli halijui lilipo afu unampa hayo magoli kweli..???
Ulishawahi kumuona kapiga hata on target hata moja...??
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Duuh kumbe hata matatu nayo mengi...!!! Jukwaa la watu hili ujue sasa wakitoka huko walipoenda kulilia, hasira watakuja zimalizia kwako