Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mi ni shabiki wa chelsea ambae naamini morata atafunga mabao zaidi ya costa

Muda utaongea tu na tutakumbushana

mkuu tupo pamoja nami nna imani kubwa na morata, 1stly movement zake akiwa na mpira ni za world class striker.
costa katuzingua sana kuanzia january sitaki hata kumsikia. kwanza costa alikua kila transfer anaomba kuondoka so mtu kama huyo wa nini kuwa nae kwenye team wakati moyo wake upo sehemu nyingine.
 
Mi ni shabiki wa chelsea ambae naamini morata atafunga mabao zaidi ya costa

Muda utaongea tu na tutakumbushana

mkuu tupo pamoja nami nna imani kubwa na morata, 1stly movement zake akiwa na mpira ni za world class striker.
costa katuzingua sana kuanzia january sitaki hata kumsikia. kwanza costa alikua kila transfer anaomba kuondoka so mtu kama huyo wa nini kuwa nae kwenye team wakati moyo wake upo sehemu nyingine.
 
Bakayoko mbona humzungumzii?, mi naona Fabregas anaandaliwa kwa Champions League kwa uzoefu wake, kwenye ligi ya ndania hapo kati ni Kante na Bakayoko tu
hapo kwa bakayoko
GOALS:

LUKAKU ( 3 ) GOALS MAN U

LAKAZETE ( 2 )GOALS ARSENAL

SALAR ( 2 ) LIVERPOOL

MORATA ( 0 ) CHELSEA ...????

Mmeramba dume wenzetu poleni..

huwezi mjudge mchezaji kwa pre season.
 
Mashabiki wa man nyumbu wanpiga kelele utafikiri ht msimu umeanza tayari wakti wenyewe wanapoteana. Subirini ligi ianz tutajua mbivu na mbichi...
Morata>Costa
 
mkuu, upo sahihi na ume hit the target.
kwa kuongezea fabregas hawezi kukaba na kante nae hawezi piga pass za mwisho. so hapo matic anahitajika sana no matter what. kingine ni kumpata alex sandro na rudiger/christean wachukue nafasi ya cahili hata kama ni captain ila hana pace.

- Mkuu Pace ya Rudiger na ya Cahill..mimi nitamchagua Cahill! Hasa pia kwa kuwa Cahill ana passion na timu, ndiye anayebaki baada ya kina Terry. Pamoja na makosa yake, Cahill (kama D. Luiz) wanajituma, wanamheshimu kocha na hakuna kitu kinamfanya kocha akupende kama mtu anayefanya hayo. Rudiger ni mzuri na natamani with time aje kureplace nafasi ya Cahill ila sio haraka hivyo.

- Ila Rudiger pia ana-offer an attacking option tofauti na Cahill ambaye mpaka kona ndo anafunga. So let's wait and see.

Katika vitu ambavyo Chelsea imepoteza in kumnunua morata,bora wange mchukua James wa Madrid kwa mkopo,morata hana ari ya kucheza,

Sent using Jamii Forums mobile app

Mh! Kweli mkuu? Only time will tell..tusianze kubishania nadharia.

Mkuu si wanajua mtu yoyote akinyatiwa na morinho ni dili kwa hiyo wakaingia mkenge bila kujua kwamba morinho alikuwa anajua jinsi ya kumtumia morata ndo maana alikuwa anamfatilia afu hawa wanachukua chukua tu bila kujiuliza watamtumiaje baadaye ndo haya yanawatokea..??

Wewe nawe umezidi kuongea! Act your age, not your shoe size bro.
 
- Mkuu Pace ya Rudiger na ya Cahill..mimi nitamchagua Cahill! Hasa pia kwa kuwa Cahill ana passion na timu, ndiye anayebaki baada ya kina Terry. Pamoja na makosa yake, Cahill (kama D. Luiz) wanajituma, wanamheshimu kocha na hakuna kitu kinamfanya kocha akupende kama mtu anayefanya hayo. Rudiger ni mzuri na natamani with time aje kureplace nafasi ya Cahill ila sio haraka hivyo.

- Ila Rudiger pia ana-offer an attacking option tofauti na Cahill ambaye mpaka kona ndo anafunga. So let's wait and see.



Mh! Kweli mkuu? Only time will tell..tusianze kubishania nadharia.



Wewe nawe umezidi kuongea! Act your age, not your shoe size bro.
Cahil hajawahi kunifanya nimuone ni beki wa kazi na mwenye umakini
 
- Mkuu Pace ya Rudiger na ya Cahill..mimi nitamchagua Cahill! Hasa pia kwa kuwa Cahill ana passion na timu, ndiye anayebaki baada ya kina Terry. Pamoja na makosa yake, Cahill (kama D. Luiz) wanajituma, wanamheshimu kocha na hakuna kitu kinamfanya kocha akupende kama mtu anayefanya hayo. Rudiger ni mzuri na natamani with time aje kureplace nafasi ya Cahill ila sio haraka hivyo.

- Ila Rudiger pia ana-offer an attacking option tofauti na Cahill ambaye mpaka kona ndo anafunga. So let's wait and see.



Mh! Kweli mkuu? Only time will tell..tusianze kubishania nadharia.



Wewe nawe umezidi kuongea! Act your age, not your shoe size bro.
Endeleeni kufurahia match za kirafiki
 
amesema anaangaika au unamlisha maneno?
Mkuu usitumie hat nguvu nyingi kumjb, chiz huyo anajitoa ufahamu.ukimjb na ww utaonekana chizi, kwenye EPL timu itakayotusumbua ni man city peke yake!" na huyo Morata watamuelewa tu......... usibishane na mtu kwa haya mazoezi ya kupasha misuli subir ligi ianze watapoteana humu atabaki Malafyale tu mana hajuagi kujiongeza!! mpaka timu inabeba ubingwa yeye yupo tu anaamini miujiza itatokea.
 
We are the champions, wapinzani msitupigie kelele.

Iwe tumesajili galasa au world class player subirini msimu uanze ndo mtajua

Team ninayoona ni shida ni man city maana wanacheza kama hawachezi tena!!!! Ila manure kawaida sana wala msipigie watu kelele

sent from my jamii forums app iphone 7+
 
Mkuu usitumie hat nguvu nyingi kumjb, chiz huyo anajitoa ufahamu.ukimjb na ww utaonekana chizi, kwenye EPL timu itakayotusumbua ni man city peke yake!" na huyo Morata watamuelewa tu......... usibishane na mtu kwa haya mazoezi ya kupasha misuli subir ligi ianze watapoteana humu atabaki Malafyale tu mana hajuagi kujiongeza!! mpaka timu inabeba ubingwa yeye yupo tu anaamini miujiza itatokea.
Morata na Bashuayi ndiyo watakupa ubingwa?
Liverpool mabingwa wapya EPL
Man City hamna kitu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom