Mkuu hiyo game ilikua ni knock out... Na ilikua km dk 90 bado team zilikua sare lazima kwenda Extra Time.
Sasa lazima uwe na mikakati ya team kua na nguvu na kua tayari kucheza muda wote mpk 120.
Sasa nilipoona Faby, Hazard na Costa wako nje na Spurs alikua na Walker tu nikaona strength ya Spurs haiwezi kufika ata dk 120. Maana wakiinuliwa tu hao wachezaji wa Chelsea na kuingia basi Spurs lazima wawe ktk Hali mbaya.
Leo Conte kanifurahisha sn hajachelewa kufanya sub km siku ya Man Utd. Kazifanya mapema sn.
Hongera sn wana Chelsea wenzangu woooote. [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji123][emoji123][emoji111][emoji111][emoji111]
[HASHTAG]#Once[/HASHTAG] [HASHTAG]#Blue[/HASHTAG] [HASHTAG]#Always[/HASHTAG] [HASHTAG]#Blue[/HASHTAG] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838] [emoji838]