Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi kwa leo natamani sana Arsenal ashinde jamani.

Mtanisamehe blues wenzangu lakini leo nitakuwa ninashabikia Arsenal. Baada ya muda nitahamia jukwaani kwao. Watafanya fainali yetu iwe rahisi kuliko kukutana tena na Guardiola..Silva..De Bruyne!!!
Acha uchizi mkuu,

Chama la The Blues limeanzishwa kwa ajili ya mapambano, yeyote atakae kuja mbele yetu ni kupambana nae tuu hakuna namna nyingine...!!!

Piga ua mpaka kieleweke, hakuna kulala hadi waelewe kwamba Chelsea ni mojawapo klabu Bora ulimwenguni.
 
Ulikuwa uamuzi wa hatari sana! Imagine Spurs kabla ya hizo sub (Hazard, Diego & Fab) angetufunga magoli ya kutosha; je, tungeweza kuyakomboa baada ya hizo sub? Anyway kwa vile uamuzi ule umeleta matokeo positive, basi Conte anastahili pongezi!
Kabisa mkuu

[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
N'golo Kante PFA player of the Year
a8d0f520144b8af59b09c44180e4a81a.jpg
 
1f4cccfa00a5fc660fd278dbe994dfbd.jpg
I'm really proud for such a honour! It's so amazing. But as I always said, it's a team work and today with this trophy, I just want to thank my teammates, all the Chelseafc and all the fans.

Je suis très honoré par ce prix, c'est tellement incroyable. Comme je l'ai toujours dit, c'est un travail d'équipe. Aujourd'hui avec ce trophée, je tiens à remercier tous mes coéquipiers, les membres du Chelseafc ainsi que tous les fans.
 
Mimi kwa leo natamani sana Arsenal ashinde jamani.

Mtanisamehe blues wenzangu lakini leo nitakuwa ninashabikia Arsenal. Baada ya muda nitahamia jukwaani kwao. Watafanya fainali yetu iwe rahisi kuliko kukutana tena na Guardiola..Silva..De Bruyne!!!
Mkuu hata mim nilitamani sana tukutane na Arsenal na ombi langu limetimia. Sasa tusubiri tarehe 27 May. Kwenye final ya Fa Cup.
 
1f4cccfa00a5fc660fd278dbe994dfbd.jpg
I'm really proud for such a honour! It's so amazing. But as I always said, it's a team work and today with this trophy, I just want to thank my teammates, all the Chelseafc and all the fans.

Je suis très honoré par ce prix, c'est tellement incroyable. Comme je l'ai toujours dit, c'est un travail d'équipe. Aujourd'hui avec ce trophée, je tiens à remercier tous mes coéquipiers, les membres du Chelseafc ainsi que tous les fans.
Congratulations Ng'olo Cante you deserved it. [HASHTAG]#PFA[/HASHTAG] player of the year 2016/2017#
 
Halooo ze bluuz. Hivi jamani hawa washabiki wa man u tamewafanyia nini? . siku tunacheza na spurs walitupigia kelele ukumbini kila tukishambuliwa mpaka basi. Nashukuru mungu mwisho wa siku waliondoka ukumbini kama kifaranga aliyemwagiwa uji wa mtoto
 
Hii fainali ya FA ngumu sana...maanake akishinda Arsenal tabuuu, akishinda Chelsea shidaaa....anyway kikombe cha mbuzi tu hakina mpango!
 
Halooo ze bluuz. Hivi jamani hawa washabiki wa man u tamewafanyia nini? . siku tunacheza na spurs walitupigia kelele ukumbini kila tukishambuliwa mpaka basi. Nashukuru mungu mwisho wa siku waliondoka ukumbini kama kifaranga aliyemwagiwa uji wa mtoto
Haaaaaaa. Mim nilikaaa n.a. wawili ivi aiseee ilikuwa fujo balaa. Baada ya mpira kuisha akatoka kimya kimya n.a. hasira juu. Ikabidi nitoe cheko la kilio
 
united hawana kikosi cha kumfunga chelsea,ushirikina wa mour ndio uliofanikiwa kuwafunga chelsea.
Alaaah kumbeee!!! Aiseeee Mou embu kazana kufanya ushirikina Europa tuchukue,EPL tuchukue,mwakani vikombe vyote tuchukue hadi UEFA,aiseee kwa dizaini hii nami kuanzia leo nitakuwa mshirikina tupate makombe yote kila mwaka!!![emoji23] [emoji23] [emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom