Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Tunashangilia kupunguza tofauti ya point.Still top of the league...bad result for sure!
Tunashangilia kupunguza tofauti ya point.Still top of the league...bad result for sure!
Mkuu nipm namba yako kuna zawadi nataka niku2mie, bila ya shaka ni ukoo mmoja shee yahaya huseinTulieni kesho mnakalishwa 2 bila![]()
![]()
![]()
![]()
Huu ndo ukweli. Ukifungwa kuna tendency ya kuona kila mtu kakosea.Hamtacheza tena na spurs![]()
![]()
una kante, matic, Moses unataka kiungo gani tena labda kitunguu saumu
Chelsea wamepigwa 2 0Chelsea wametokaje?
I just hope wewe ni shabiki wa Liverpool maana kama ni united pamoja na kufungwa bado nitakucheka sana!Tunashangilia kupunguza tofauti ya point.
Tumeiyona mkuu, nyinyi kibogo banaLeo Tutaweka Record ya Kushinda mechi ya 14 Mfululizo kwenye msimu mmoja ambayo haijawahi kufikiwa na Timu yeyote ligi kuu Uingereza!
Hivi ile record inayoshikiliwa ya 14 consecutive wins ya 14 games mtaivunja lini au ndio kitumbua kishaingia mchanga. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, Conte bana anachekesha ati Spuds wameiga formation yenu ya 3-4-3 Aibu!Hakuna haja ya usajili January hii.
Pedro for Alonso for all the remaining games. Basi kwangu mimi hiyo ndo weak link tuliyonayo.
Haya haya mama ngoja tuweke hayaMuda bado wekeni akiba ya maneno
Nadhani utaziheshimu sasaMkuu siku hizi record ni kitu kidogo sana, inavunjwa muda wowote ule. Na pia records zipo ili zivunjwe
Ushatolewa bikra, jitayarishe kwa vichapo tuHuu ndo ukweli. Ukifungwa kuna tendency ya kuona kila mtu kakosea.
My only cry tangu mwanzo wa ligi ni Marcos Alonso...viatu vya Ashley Cole vinampwaya sana.
Najua games nyingine tunaweza kushinda ila games kama ya Leicester and Liverpool ingependeza Pedro acheze left wing. Ni mtazamo wangu.
Spurs wazembe tu, hawajui umuhimu wa ile gemuHilo haliwezi kutokea..... Tunaujua umuhimu wa hii game.
Sio mchezaji wa Chelsea.Left wing wekeni KICHUYA
Am sorry mpira hauendi kama demu wako...Ushatolewa bikra, jitayarishe kwa vichapo tu