Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwa kuishiwa nguvu huku na tubao twako twa bahati huwezi mfunga yyt anayekuja kuanzia sasa
Usikimbie hapa Jumamosi kwa CL
Benteke hawezi kuacha,umeisha choka
Liverpool hamna mechi ambaye hawezi funga bao kuanzia 2
Kama tufungwe basi mpinzani afunge 3
Wewe huwezi tena funga bao zaidi ya 2
Everton na Man City namaliza mechi dakika 45 za kwanza
Haya ni maneno tu ya kumfariji mgonjwa, mkuu unafaa sana kumuuguza mgonjwa...teh! teh!
 
hili kombe tushindwe wenyewe tu. Ukiangalia ratiba yetu iliyobaki ukifananisha na ratiba iliyopita siye tuna mteremko wa kitonga tushindwe wenyewe.
Wapinzani wetu wote ratiba zao ngumu tukizichanga vizuri kalata zetu ubingwa unaweza kuwa wetu kabla round ya pili haijaanza.
Hapo umeniua
 
*Chelsea next 5 fixtures*

Sun 11 Dec 16 @14:00
*Chelsea v West Bromwich Albion*

Wed 14 Dec 16 @ 21:45
*Sunderland v Chelsea*

Sat 17 Dec 16 @ 14:30
*Crystal Palace v Chelsea*

Mon 26 Dec 16 @ 17:00
*Chelsea v Bournemouth*

Sat 31 Dec 16 @ 17:00
*Chelsea v Stoke City*


*KEEP THE BLUE FLAG FLYING HIGH*

[HASHTAG]#Mind[/HASHTAG] [HASHTAG]#The[/HASHTAG] [HASHTAG]#Gap[/HASHTAG]
 
Screenshot_2016-12-15-08-12-43.jpg
 
sisi tumebakiza game nyepesi kuliko wenzetu city, asernal na liver. asernal bado na city na evarton, liver bado na city wakati city bado na liver na asernal , kwa hyo lazima wapunguzane point wao kwa wao
January tuna ratiba ngumu kweli.

Yani ndani ya January tunakutana Na Spurs, Gunners, Leicester city na LFC. Na bado kutakua na vi upuru upuru vya vi timu vingine km viwili hivi.

Yani hii December tukomae kweli kushinda hivi vimichezo vitatu vilivyobaki then Jan tununue wachezaji km wawili hivi alafu tuendelee Na kuwakimbiza
 
January tuna ratiba ngumu kweli.

Yani ndani ya January tunakutana Na Spurs, Gunners, Leicester city na LFC. Na bado kutakua na vi upuru upuru vya vi timu vingine km viwili hivi.

Yani hii December tukomae kweli kushinda hivi vimichezo vitatu vilivyobaki then Jan tununue wachezaji km wawili hivi alafu tuendelee Na kuwakimbiza
unachosema ni kweli kabisa na nafasi ambayo bado inasumbua ni pale mbele tukipata mchezaji mfungaji mzuri kumsaidia diego na hazard ubingwa ni wetu. Huwezi kumtegemea willian kwenye ufungaji hana mbinu hivyo siku diego na hazard wasipocheza vizuri hatuna mchezaji kalibre ya wao ktk ufungaji
 
Sikufanikiwa kuangalia game yetu dhidi ya Sunderland ila ndiyo nimemaliza kuiangalia sasa hivi.

Mtazamo wangu;

- Costa has been such a revelation msimu huh. Game nzima nimemuona akijituma sana. Always looking for passes and assisting others bahati tu kipa wao leo amejitahidi sana. But kudos to him aisle.

- Willian, Pedro n Moses wanahitaji kufanya shooting practice aisee. Maana, kabla ya kuangalia mechi hii kwa kuangalia matokeo tu unaweza ukadhani tulielemewa sana kumbe ni watu wachache kule mbele walikuwa na goal chances wakapiga mipira ambayo hata mimi siwezi kucheza hivyo aisee...such a shame.

- Kudos to Courtouis kea another clean sheet. Kuna stoppage mmbili alizifanya; moja ya dk. 47 na lie ya dakika za nyongeza anastahili sifa kwa kweli.

- Natamani kusema we missed creativity ya Hazard ambayo si kwamba haikuwepo ila naamini Hazard angekuwepo zile chances alizokosa Willian Hazard asingekosa aisee...so open chances!


Anyway, on for Saturday/Sunday? bado tuko vizuri dana tofauti na nilivyodhani kabla ya mechi. Kati, nyuma na striker wetu Costa. Nadhani kocha atalipa uzito suala la shooting aisee...wanashoot kama wamefungwa macho, hakuna creativity esp Willian na Moses wamenisikitisha.

With the performance najua hatuwezi kushindwa (lose) games ila tunahitaji shots on target na smart shots za Hazard na Costa...

On we go [HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]...on top of the league.

Bring them Crystal palace...
 
Naombeni record ni timu gani Epl imeshinda mechi 10 mfululizo au tisa mfululizo bila kufungwa tofauti na Chelsea?
Mwenye jibu naomba

Timu inayoshikilia rekodi hiyo kwa sasa ni Arsenal ambayo ilienda mechi 14 mfululizo bila kufungwa. Sisi tuna-rekodi ya kushinda mechi nyingi kwa mfululizo mara nyingi. Tukimaliza December bila kufungwa tutakuwa tumemfikia Arsenal...hope tutampita.
 
unachosema ni kweli kabisa na nafasi ambayo bado inasumbua ni pale mbele tukipata mchezaji mfungaji mzuri kumsaidia diego na hazard ubingwa ni wetu. Huwezi kumtegemea willian kwenye ufungaji hana mbinu hivyo siku diego na hazard wasipocheza vizuri hatuna mchezaji kalibre ya wao ktk ufungaji

Bado natamani tumpate mbadala wa Alonso kabla ya kuangalia wafungaji.

Wale kule mbele wanahitaji mazoezi tu kwa kweli ya ufungaji...maana possession iko poa, shots nyingi ila 80% ziko off target halafu hizo 20% zinazobaki ni direct shots kwa kipa, hazina ubunifu. Naamini specific mazoezi kwa ajili ya hilo itatatua shida hii. Mwishowe tutaanza kutegemea magoli ya deflected shots!
 
Sikufanikiwa kuangalia game yetu dhidi ya Sunderland ila ndiyo nimemaliza kuiangalia sasa hivi.

Mtazamo wangu;

- Costa has been such a revelation msimu huh. Game nzima nimemuona akijituma sana. Always looking for passes and assisting others bahati tu kipa wao leo amejitahidi sana. But kudos to him aisle.

- Willian, Pedro n Moses wanahitaji kufanya shooting practice aisee. Maana, kabla ya kuangalia mechi hii kwa kuangalia matokeo tu unaweza ukadhani tulielemewa sana kumbe ni watu wachache kule mbele walikuwa na goal chances wakapiga mipira ambayo hata mimi siwezi kucheza hivyo aisee...such a shame.

- Kudos to Courtouis kea another clean sheet. Kuna stoppage mmbili alizifanya; moja ya dk. 47 na lie ya dakika za nyongeza anastahili sifa kwa kweli.

- Natamani kusema we missed creativity ya Hazard ambayo si kwamba haikuwepo ila naamini Hazard angekuwepo zile chances alizokosa Willian Hazard asingekosa aisee...so open chances!


Anyway, on for Saturday/Sunday? bado tuko vizuri dana tofauti na nilivyodhani kabla ya mechi. Kati, nyuma na striker wetu Costa. Nadhani kocha atalipa uzito suala la shooting aisee...wanashoot kama wamefungwa macho, hakuna creativity esp Willian na Moses wamenisikitisha.

With the performance najua hatuwezi kushindwa (lose) games ila tunahitaji shots on target na smart shots za Hazard na Costa...

On we go [HASHTAG]#KTBFFH[/HASHTAG]...on top of the league.

Bring them Crystal palace...
Ni kweli mkuu. Ukiangalia statics zinavyoonyesha yani lazima tulitakiwa tushinde nyingi sn.


Tumemiliki mpira kwa asilimia 70 kwa muda mrefu sn. Tumepiga mashuti 17 lkn tumeweza kufunga goli moja tu. Tulipata kona 5.

Sasa kwa hizo stats Na matokeo tuliyopata haviendani kabisa.
 
Bado natamani tumpate mbadala wa Alonso kabla ya kuangalia wafungaji.

Wale kule mbele wanahitaji mazoezi tu kwa kweli ya ufungaji...maana possession iko poa, shots nyingi ila 80% ziko off target halafu hizo 20% zinazobaki ni direct shots kwa kipa, hazina ubunifu. Naamini specific mazoezi kwa ajili ya hilo itatatua shida hii. Mwishowe tutaanza kutegemea magoli ya deflected shots!
mkuu sina na tatizo na mtazamo wako lakini kwa mtazamo wangu hao wachezaji uliowasema hata ungewapa practice ya kushoot sidhani kama wanaweza kuwa na consistence yoyote,ufungaji nao ni kipawa ili ufunge goli unahitaji ufundi ambapo hao wachezaji uliosema hawana labda abaki yeye na golikipa. Ndiyo maana napendekeza tupate mchezaji pale mbele goal scorer sio hao wakina willian.
Chukulia mfano pale barca inakuwaje kila mechi wana uhakika wakushinda goli si chini ya 3 sababu ni moja tu MSN wote ni type ya wafungaji hatari ambao hawahitaji training ya kushoot.
Swala la kujiuliza ni mchezaji gani yupo available mwenye kaliba niliyoitaja hapo ndipo management ya chese inatakiwa iumize kichwa tukipata mchezaji type ya kina Mane, griezman, nk tutakuwa kwenye nafasi nzuri ya kushinda ligi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom