Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimeangalia game ya Nigeria vs Algeria nimecheka sana...

Yaani Victor Moses ukimuangalia vyema anajaribu sana kucheza kama Eden Hazard akiwa timu ya taifa. Somehow yeye ndo amecheza kama free role player ila yani unaona jinsi ambavyo kucheza chelsea kumemfanya awe bora zaidi. Kuna attempt dakika za mwanzo ile kama angefunga ile angeringa sana yani alimuiga Hazard kuanzia chenga.

Upande wa pili, naona kabisa Mikel akiondoka aisee. Bado hawezi ku-control mid field. Kwa mechi za Africa labda bado anaweza kuendelea kutumika ila siku wakikutana na timu ya maana lazima walie. Na-support wazo la kumuuza. Ametutumikia vyema lakini sioni mchango wake positive kwetu anymore labda kama hataki games anaweza kubaki bench tu.

Mwisho, international break ikiisha coaches wengi hupenda kupumzisha wachezaji waliokuwa nje...Kuna dalili V. Moses, Matic na Cahill wakapumzika (au mmoja wao) kwenye mechi dhidi ya Middlesbrough wikiendi ijayo. Dah naiona mbaliiiiii...


 
Mkuu [HASHTAG]#mentor[/HASHTAG] sikuiona hiyo mechi lakini baada ya kuona matokeo na mfungaji wa magoli 2 ni moses nikawa nimeamini kuwa confidence ya kucheza mfululizo chese imemsaidia sana kijana
 
Conte: "I think that manager must improve his players, it is important to work with team, but also one to one to bring out talent, we have a lot of talent but now we are workin a lot, am pleased to see the great attitude and the great will to improve."
 
Wadau, inasemekana wachezaji wetu muhimu Eden Hazard na Diego Costa ni majeruhi na huenda mechi ijayo dhidi ya M'Boro wasicheze. Pia bado haijajulikana watakaa nje ya ulingo kwa muda gani! Let us all pray for their quick recovery!
 
d089c65c2cb238c110b2450c42b3634a.jpg
 
maombi yangu kwa mechi ya man u vs arsenal watoke droo ili kuongeza gap kubwa kati yao na sisi.
Huku na sie ktk mechi 8 zilizobaki tukipata point 20 out of 24 itakuwa njema kumaintain nafasi yetu, mechi zitakazo tupa shida hata tuwe wazuri vipi ni ya man city na toten hawa jamaa huwa wanatusumbua sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom