ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,705
January tuna ratiba ngumu kweli.
Yani ndani ya January tunakutana Na Spurs, Gunners, Leicester city na LFC. Na bado kutakua na vi upuru upuru vya vi timu vingine km viwili hivi.
Yani hii December tukomae kweli kushinda hivi vimichezo vitatu vilivyobaki then Jan tununue wachezaji km wawili hivi alafu tuendelee Na kuwakimbiza
January tuna ratiba ngumu kweli.
Yani ndani ya January tunakutana Na Spurs, Gunners, Leicester city na LFC. Na bado kutakua na vi upuru upuru vya vi timu vingine km viwili hivi.
Yani hii December tukomae kweli kushinda hivi vimichezo vitatu vilivyobaki then Jan tununue wachezaji km wawili hivi alafu tuendelee Na kuwakimbiza
na kukubali sana ntuzu uchambuzi wako, unafikiri kwa maoni yako ni maeneo gani inabidi kuongeza nguvu kwa kununua wachezaji ? na unapendekeza wachezaji gani kaka